Zingatia hicho kichwa hapo juu
Wanaume wengi muna tembea na laana za wanawake ndio maana wengi wenu hamfanikiwi kiuchumi wala kiroho na hata mkifanikiwa hamli matunda ya mafanikio yenu muna kufa mapema na sisi ndio tunafaidi
Hata Kama ni tamaa hicho mnachokifanya mnavuka mipaka sio tamaa tena Bali ni mapepo haiwezekani wewe kila mwanamke unataka umfunue
Acheni kudanganya binti za watu munawatumia then munawadamp na msipoachaa mutakufa sana tena kwa umri mdogo
Kama unajua huna nia ya kumuoa binti wa watu kwanini ukae nae muda mrefu mpk unamzalisha dada wa watu anakuwa singomaza then unamkimbia( hapa sizungumzii wanawake waliotegesha mimba hao sina la kuwasaidia)
Mimi nawapenda sana wale ambao ni hit and run hawapotezi muda wa wadada yaani akila anasepa na harudi tena na uhusiano umekufa hapo.. Hii ni nzuri kwasababu hutomzibia mwanamke kupata mtu sahihi na mwanamke anajua kabisaa nimeliwa nimeachwa, sasa kuna wanaume wapumbafu wanamzibia mwanamke asipate mwinginee huku akiendelea kumtumia baada ya Miaka 2 anaoa mwinginee
Ifikie hatua wanaume mbadilike nyie ndio mnasababisha tufike Miaka 30 bado hatujaolewa.. chukulia mfano umeanza mahusiano na binti akiwa na 23 umeenda nae ameamini kuwa utamuoa mwisho wa siku unamuacha akiwa na Miaka 29 unataka nani amuoe na ulimuwekea kauzibe kipindi akiwa anahit ukimuaminisha utamuoa na sasa umebadili mawazo
Wanawake usikae na mwanaume zaidii ya mwaka Kama hakuoi kubali hao wanaotaka kuoa wakuoe… Kama mtu tayari anauwezo wa kuoa anasubiri nini?
Wanawake msizae na wanaume wasiowaoa.. amini kwamba asilimia chache sana huwaoa waliozaa Nao wengi hawaoi waliozaa nao
Wanawake msiolewe na singofaza wakawaoe waliowazalisha
Wanaume msipobadilika mtakufa Kama kuku kwa laana na machozi ya wanawake… Kama mjuavyo Mungu anasikia kilio cha mwanamke sana jipangeni in
Wanaume wengi muna tembea na laana za wanawake ndio maana wengi wenu hamfanikiwi kiuchumi wala kiroho na hata mkifanikiwa hamli matunda ya mafanikio yenu muna kufa mapema na sisi ndio tunafaidi
Hata Kama ni tamaa hicho mnachokifanya mnavuka mipaka sio tamaa tena Bali ni mapepo haiwezekani wewe kila mwanamke unataka umfunue
Acheni kudanganya binti za watu munawatumia then munawadamp na msipoachaa mutakufa sana tena kwa umri mdogo
Kama unajua huna nia ya kumuoa binti wa watu kwanini ukae nae muda mrefu mpk unamzalisha dada wa watu anakuwa singomaza then unamkimbia( hapa sizungumzii wanawake waliotegesha mimba hao sina la kuwasaidia)
Mimi nawapenda sana wale ambao ni hit and run hawapotezi muda wa wadada yaani akila anasepa na harudi tena na uhusiano umekufa hapo.. Hii ni nzuri kwasababu hutomzibia mwanamke kupata mtu sahihi na mwanamke anajua kabisaa nimeliwa nimeachwa, sasa kuna wanaume wapumbafu wanamzibia mwanamke asipate mwinginee huku akiendelea kumtumia baada ya Miaka 2 anaoa mwinginee
Ifikie hatua wanaume mbadilike nyie ndio mnasababisha tufike Miaka 30 bado hatujaolewa.. chukulia mfano umeanza mahusiano na binti akiwa na 23 umeenda nae ameamini kuwa utamuoa mwisho wa siku unamuacha akiwa na Miaka 29 unataka nani amuoe na ulimuwekea kauzibe kipindi akiwa anahit ukimuaminisha utamuoa na sasa umebadili mawazo
Wanawake usikae na mwanaume zaidii ya mwaka Kama hakuoi kubali hao wanaotaka kuoa wakuoe… Kama mtu tayari anauwezo wa kuoa anasubiri nini?
Wanawake msizae na wanaume wasiowaoa.. amini kwamba asilimia chache sana huwaoa waliozaa Nao wengi hawaoi waliozaa nao
Wanawake msiolewe na singofaza wakawaoe waliowazalisha
Wanaume msipobadilika mtakufa Kama kuku kwa laana na machozi ya wanawake… Kama mjuavyo Mungu anasikia kilio cha mwanamke sana jipangeni in