fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 13,132
- 22,973
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.