Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

I watch TV shows all the time. Ila linapofika suala la Game of thrones, i draw the line!

History comprising of dragons is just not my genre. Sijawahi angalia hata episode moja ya Game of thrones. So nikitaja series bora za muda wote kwangu, usitegemee kuisikia!
 
Glad you asked coz You kno wI like to explain😎😎

Ipo hivi...
Spoils of wars hua inamaanisha vitu fulani vilivyochukuliwa vitani. Eg; Tz ikipigana na Kenya ikashinda vita basi ichukue vitu itakavyoona vinafaa labda tuseme michele, mifugo,pesa, dhahabu nk. So vitu hivyo vilivyotoka vitani ndio huitwa spoils of wars!

Kama uliangalia vizuri hiyo episode, Jaime &Bronn akiwa na jeshi lake la Lannister walienda kuvamia mji wa High Garden nyumban kwao Lady Olena na Margery Tyrrell. Jaime akamwambia lady olena serci kanituma nikukamate nikupeleke akutese na kukukata kichwa, ila jaime akasema kwa heshima yako nakupa chaguo ujiue mwenyewe. So olena akanywa sumu, but just before that alimwambia jaime "Tell serci i want her to know that it was me" kwamba yeye olena ndio alimuua Jofrey kwa sumu.

Baada ya olena kufa walichukua madhahabu na vitu vingine vingi wakawa wanarudi navyo. Hivyo vitu ndio spoils of war, hence jina la episode. Daenerys alivyofika na dragon wake alichoma mizigo yote waliyokua wamebeba kutoka high garden
images-39-jpeg.2972164
Good explanation. Actually daenary hakuchoma dhahabu zote. Mali nyengine zilikua zimeshafika kingslanding ndiyo maana cercie akapata pesa za kulipa madeni benki na kununua golden company. Madeni ambayo alikopa baba yao bada ya kukauka kwa machimbo kastaly rock. Lile jeshi ambalo bora samuel tally ameua watu wengi
 
Lord Bares hapa karata zake hazikufanya kazi kwa the Starks ila jamaa alitaka kuitawala North kwa ulaghai sema ni Ile kusema huwezi tumia same method kucheza na akili za watu.
Kwa Bahati mbaya Sansa alikuwa ana rekodi Kila kitu alichokuwa akifanya hivyo alimjua vizuri ila Arya ye hakuhitaji mda mwingi kumjua as Alisha deal na yule jamaa faceless man (hagar)
Jaqin Hagar ni 🔥🔥🔥
 
Shogun ni nzuri ila haifikii GT hata robo wazee,Shogun ni kama movie ya kijapan tu inayomuhusu Taronaga.
 
Tokugawa Shogunate...

Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.

Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎

View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.

Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.

View attachment 2972104

Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Kwa mimi Shogun ni bora kuliko game of throne.
Maana huyu jamaa Hiroyuki Sanada hanaga kazi mbovu.
Shogun naipa hadhi sawa na into the badlands.
 
Shongun ni nzuri ila wazee GOT 🙌…….. labda ngoja tusubir muondelezo wake huko mbelenii ila mpaka sasa bado viwango vya GOT havijafikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom