Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,758
107,109
Tokugawa Shogunate...

Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.

Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎

FB_IMG_17138897959650433.jpg

Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.

Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.

FB_IMG_17138897139001095.jpg


Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
FB_IMG_17138897040843230.jpg
 
GOT ni level ingine kabisa Kila itakapofananishwa nitasimama kuisemea
Imagine scene kama Ile pale Tyrion anamuaga Varys ili aliwe na Dragon "Was me"
Imagine John ana mstudy Queen na kujua wakati gani amfanyie execution
Battle of the bastards
Battle of black water
Battle of queens
Poet ya Euron aliyemtongoza Cercei mbele ya Jermie Lannister the kingslayer 🙌🙌🙌🙌
 
GOT ni level ingine kabisa Kila itakapofananishwa nitasimama kuisemea
Imagine scene kama Ile pale Tyrion anamuaga Varys ili aliwe na Dragon "Was me"
Imagine John ana mstudy Queen na kujua wakati gani amfanyie execution
Battle of the bastards
Battle of black water
Battle of queens
Poet ya Euron aliyemtongoza Cercei mbele ya Jermie Lannister the kingslayer 🙌🙌🙌🙌
Umesahau episodes mbili bomba
Hardhome na Spoils of Wars
 
Tokugawa Shogunate...

Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.
Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎
View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones. Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.
View attachment 2972104

Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Shogunate era, Emperial Japan (Dai Nippon Teikoku)
 
Mfumo nilitumia kuangalia haujaainisha kujua hayo hata hizo battle ni vile zilikuwa zinatamkwa na wahusika ndio nikazijua
Hardhome na Spoil wars zilikuwa zipi!?
Glad you asked coz You kno wI like to explain😎😎

Ipo hivi...
Spoils of wars hua inamaanisha vitu fulani vilivyochukuliwa vitani. Eg; Tz ikipigana na Kenya ikashinda vita basi ichukue vitu itakavyoona vinafaa labda tuseme michele, mifugo,pesa, dhahabu nk. So vitu hivyo vilivyotoka vitani ndio huitwa spoils of wars!

Kama uliangalia vizuri hiyo episode, Jaime &Bronn akiwa na jeshi lake la Lannister walienda kuvamia mji wa High Garden nyumban kwao Lady Olena na Margery Tyrrell. Jaime akamwambia lady olena serci kanituma nikukamate nikupeleke akutese na kukukata kichwa, ila jaime akasema kwa heshima yako nakupa chaguo ujiue mwenyewe. So olena akanywa sumu, but just before that alimwambia jaime "Tell serci i want her to know that it was me" kwamba yeye olena ndio alimuua Jofrey kwa sumu.

Baada ya olena kufa walichukua madhahabu na vitu vingine vingi wakawa wanarudi navyo. Hivyo vitu ndio spoils of war, hence jina la episode. Daenerys alivyofika na dragon wake alichoma mizigo yote waliyokua wamebeba kutoka high garden
images-39-jpeg.2972164
 

Attachments

  • images (39).jpeg
    images (39).jpeg
    19.4 KB · Views: 10
Kuna kamove kanaitwa dune hapo kwenye screenshot yako, wamekasifia sana huko netflix ila mi sijakaaminia kabisa yani
Dune ninayo ila muda sasa wa kuangalia ndo kisanga. I miss those day nilikua naangalia season zote kwa siku moja.
Naivutia kasi niangalie Dune maana naona ndio highest grossed film of 2024
 
Mimi sio mpenzi wa movie hasahasa za huzuni nina machozi ya karibu
Ila horror movies kidogo naweza kuangalia
 
Dune ninayo ila muda sasa wa kuangalia ndo kisanga. I miss those day nilikua naangalia season zote kwa siku moja.
Naivutia kasi niangalie Dune maana naona ndio highest grossed film of 2024
mi nimejaribu kuiangalia kidogo hyo part one, haikunivutia kiviiilee,,,,,labda sababu nilikua na uchovu kidogo.....wacha nijaribu tena.

hiyo shogun hata kama sijaingalia bado,,,,,,sidhani kama ina maunyama kuzidi GOT
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom