Wana ndoa kwa wiki mnakutana mara ngapi

Kugegeda hakuna formula
Ni kama kiu ya kunywa maji, anytime ukihisi kiu unamuweka mwenzio kwenye feeling kazi inaanza
 
Mimi siko kwenye ndoa lakini ni mtaalamu wa haya mambo
Kwa wiki ni mara 4 au 3
Siku ambazo tendo la ndoa halitakiwi kufanyika hata kwa bahati mbaya ni Ijumaa Jumamosi na Jumapili
 
uzi huu maalum kwa wana ndoa au watu wanaoishi na wenzao ,nmekuja kuuliza maana leo katika pita pita zangu mtaani nipo sehemu nikaona mdada ana lalamika kuwa kachoka na baba boke maana baba boke kila siku anataka ana mshauri wapange kuwa kwa wiki iwe hata mala moja aliposema mala moja mwenzake akastuka akasema wafanye hata mala mbili ,mwenzao mwingine akasema wafanye mala tatu ,mpaka naondoka eneo la tukio nikaacha mjadala nikasema ngoja niulize wadau eti ili ionekane unamtendea haki mwenzio kwa wiki inaitajika mala ngapi

WHO mara mbili mpaka tatu
 
Kuna mdau nimemuelewa sana kuwa hivi vitu vinaendana na mood mkiwa hamna mawazo kila kitu kipo sawa utaitaji papaa mda wote
 
Back
Top Bottom