Sijambo mimiNakusalimia maana kitambo sijakutia machoni
Hizo emoj veepe♂️♂️♂️♂️
SawaSafi sana.
Ebu anza kumtii hapa hapa jamvini kwanza....
HeeeNigawie huku mkuu
Sa wacheka niniAhahahahhh
uzi huu maalum kwa wana ndoa au watu wanaoishi na wenzao ,nmekuja kuuliza maana leo katika pita pita zangu mtaani nipo sehemu nikaona mdada ana lalamika kuwa kachoka na baba boke maana baba boke kila siku anataka ana mshauri wapange kuwa kwa wiki iwe hata mala moja aliposema mala moja mwenzake akastuka akasema wafanye hata mala mbili ,mwenzao mwingine akasema wafanye mala tatu ,mpaka naondoka eneo la tukio nikaacha mjadala nikasema ngoja niulize wadau eti ili ionekane unamtendea haki mwenzio kwa wiki inaitajika mala ngapi
Inategemea mvuto wa chiniInategemea na mvuto wa mwanamke
hahahaha.!! aisee si mchezoNikijisikia tu namwambia mama Shija hebu njoo kuna hela yangu ilidondoka nitafutie huku chumbani .
Akija tuu ngwala!