Wale tuliosoma advanced physics

Mimi niko technical sikupita advance ila Tizim ni subject kabisa linajitegemea na ni msalaaaaaa
 
electromagnetism aisee ile ni konyo,kwanza hainaga mwisho katika kuisoma yaani hakuna mwalimu huwaga anamaliza kuifundisha labda huki akina st,nakumbuka kuna ticha alikuwaga wa bios ila kutokana na kutokuwa na mwalimu shule ikabidi ajitolee kutupush sababu alisomaga PCB kilichomtokea alipofika stage ya miformula ya lenz law na faradays law hatakaa asahau ktk historia ya ufundishaji wake,ile topic haina mjuaji aisee labda majiniaz.
 
bistable multivibrator ilikuwa kichomi,opamp,NAND na AND GATES
bistable multivibrator ilikuwa kichomi,opamp,NAND na AND GATES
Ila kiukweli Electronics ilikuwa balaa,lakini kama ingewekwa kwenye syllabus ili ifundishwe mwanzoni ni rahisi sana.
Mechanics ni ngumu sana sema tu vijana wengi uanza kusoma mapema tofauti na Electronics.
Wave ni ngumu sana, hivyo huitaji utulivu na imaginations kuliko kukariri.
Electricity & Electromagnet,Modern Physisc sio ngumu sana Ila zinahitaji ufuatiliaji na kufanya maswali mengi na kujisomea vitabu mbalimbali.
 
Electromagnetism, mechanics. Nadhani 70% ya topic za Physics zilikua kichomi. Mungu mkubwa sijui nilipataje E. Nilijua safari yangu ya elimu iliishia form six. Nijiona genius baada ya kusoma PCM na nikaenda chuo. Maana mtoto wa kike afu sistaduu haikua rahisi saba
hongeraa Mwana PCM mwenzanguu... Usister duu wote ulee ulitusua E ...kip it up
 
Magnetism,,,ile kitu unaeza hisi umeielewa ila ukikutana na swali unaeza usijue kuwa ni induction ama electrostatic
 
Pulley systems.... Pale kwenye kutafuta tenshen kwenye rope inayobeba mzigo ni nomer.. Fluid mechanics pia.. Kutafuta surface area ya 'ma babo' yaliyoshikamana (coalsing bubles) ilikuwa ni noumer zaidi...
 
Hahahaah, unaishia definition tuu na kuandika data na kanuni unazozikumbuka. Utata unaanziaga pale unapoandika kanuni halafu unakuta data kibaaaao huna.

Hukawii kucoment swali limekosewa.
Imebidi nicheke tu,mbaya zaid kitu cha Necta hakinaga marekebisho,
 
Mmenikumbusha kitabu cha physics tulikuwa tukikiita UP (university physics), kilikuwa na maswali magumu balaa!
 
Daaa nilipiga PCB...physics kwangu niliamua niisome kwa moyo mmoja ili nipate MD...

Nakumbuka niliwai fundshwa tonics tuition mwanzo mwisho sikuielewa jamaa akala pesa yangu...nilipokuja kukaa nikatulia school niliona tonics iko easy sana

Topic kama heat nilikua napenda nikutane nayo sana ilikua kwangu normal kimtindo aisee

Kasheshe ilikua kwenye electromagnetism aisee hahahaha nakumbuka niliamua kukalili tu liwalo na liwe...nilikua nasoma leo nikitafuta maswali nipige hayaendi nikaamua kumeza chand tu

Topic zingne kama modern, current, static, mechanics,zilikua 50 50 kwangu napiga Sometimes zinanipiga

Nakumbuka kwenye tonic unapewa zile gate utengeneze table za true and False nilikua nazipiga sana...Kasheshe ilikua upewe zile table za true and False afu ugundue ni logic gate gan na uichore hahahaha sikua nafanya ilo swal...nampeleka rafiki yangu anifundishe ananiwekea na concept za pure maths hahahaha nikamua kutemana nayo
 
Back
Top Bottom