Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Riskytaker

Senior Member
Mar 14, 2024
147
662
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki.

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yaani blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikuwa zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi, mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikuwa akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wana umoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli.

Wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe.

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
 
Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yan blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikua zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi,mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikua akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wanaumoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli

wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Wakinga zaidi ya masharti hayo la kwanza lazima umuue au umfanye msukule ndugu wa karibu. Yaani Mama, mtoto wako au mdogo wako.

Mali za Wakinga ziangalie hivyo hivyo ila ni mateso matupu, zote ni mauzauza tu. Unakuta mtu ana hoteli ya kisasa lakini analala kwenye chumba cha stoo na mabox
 
Wakinga zaidi ya masharti hayo la kwanza lazima umuue au umfanye msukule ndugu wa karibu. Yaani Mama, mtoto wako au mdogo wako.

Mali za Wakinga ziangalie hivyo hivyo ila ni mateso matupu, zote ni mauzauza tu. Unakuta mtu ana hoteli ya kisasa lakini analala kwenye chumba cha stoo na mabox
Sharti la kwanza la Wakinga ni ubahili. Sharti la pili ni kusaidiana.
 
Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yan blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikua zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi,mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikua akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wanaumoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli

wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Je bado kuna watu siku hizi wanasema Wachagga wanapenda pesa? Ahaaa!
 
Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yan blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikua zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi,mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikua akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wanaumoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli

wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
We ni mkinga au mchaga?
 
Back
Top Bottom