Riskytaker
Senior Member
- Mar 14, 2024
- 147
- 662
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini.
Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki.
Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yaani blah blah kibao.
Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikuwa zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi, mchawi na vitu kama hivyo.
Mtu alikuwa akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.
Sasa hivi wakinga wana umoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.
Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli.
Wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe.
Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.
BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki.
Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yaani blah blah kibao.
Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikuwa zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi, mchawi na vitu kama hivyo.
Mtu alikuwa akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.
Sasa hivi wakinga wana umoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.
Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli.
Wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe.
Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.
BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO