Acha unafiki, furahia maana mmepata mnachokitaka ingawa lengo hapa si kuwapata na hatia bali ni kuwatisha na kutisha wengine.Duh
Wameshtakiwa leo Jumapili?!
Ikumbukwe mambo haya ya Uhaini huambatana na Njaa na Dhiki Kuu, si dalili njema
Nilikuwa Katumba Bar Kinondoni mkwajuni Wakati Tamimu alipofanya Uhaini 1980s, si jambo la kuombea kwa kweli
Lengo ni kutisha watu na kuhakikisha watu wanaozea jela na si ku-prove makosa ya Uhaini mahakamani.Kutoa tamshi ni uhaini? You have to prove that in the court of law
Kwa mfano hai Mungu anakusudia nini hapoMungu ana makusudi na kila jambo.
kwaiyo unasemaje?Bandari zetu ni URITHI wetu.
Hatutaogopa!!!
Mpumbavu mkubwa wewe,huna hata hoja unaropoka ujinga uliojaliwaNenda kawatete mahakamani unafikili police niwajinga waliwaacha mda mrefu wakajisahau na matamshi yao yenye utata. Walikuwa na nia nzuri ila strategy yao haikuwa nzuri kwa afya ya umoja wetu wa kitaifa. Pakitokea civil unrest tutaenda wapi watu wako frustrated na maisha hawajui babdari wala nini kitakachotokea ni looting na uharifu mwingine. Hawa jamaa walijiamini sana mpaka kukosa hekima kwenye matamshi yao.
Halafu uachage ubwege na ujinga utaungana na Mdude na haka la ID fake?!!Acha unafiki, furahia maana mmepata mnachokitaka ingawa lengo hapa si kuwapata na hatia bali ni kuwatisha na kutisha wengine.
Hata hivyo, kwa tuhuma hizi, watu wataishiwa uvumilivu na wengi watakuwa tayari kuungananao hata kama na wao watashitakiwa kwa makosa hayo hayo ya uhaini.
bora kupoteza watu 10 kuliko kuhatalisha maisha ya elfuMwambieni Mama auaye Kwa upanga atauawa Kwa upanga, Mtu mwenye ufahamu hujifunza kutokana na makosa ya waliomtangulia.
Ni kweli Mh rais hajajifunza Kwa jiwe?.
Acha kuwa na ndimi mbili.Halafu uachage ubwege na ujinga utaungana na Mdude na haka la ID fake?!!
Asante mungu, wahukumiwe kunyongwa mpaka kufa kwa sababu ni wahaini kabisa. Yaani hakika haki itendeke kwao ili liwe fundishoTaarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Adv.
@Mwabuk2Boniface
na
@mdudechadematz
wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO
TUMEKATAA mkataba fake wa Bandari,kwaiyo unasemaje?
Wataalamu mbalimbali wa sheria wameshaongea ni busara sasa kuondoa tofauti zetu na kufanya maamuzi sahihi kama ni kuaachana nao au lah!Lakini mkataba wa bandari unausemaje
Nasimama kwenye kweli iwe imesemwa na CCM au Upinzani haijalishiAcha kuwa na ndimi mbili.
Kama hamjapata fundisho kwa yule anaeoza kaburini, basi subirini pigo jingiene ndio mtajua Mungu si Mwanadamu.Asante mungu, wahukumiwe kunyongwa mpaka kufa kwa sababu ni wahaini kabisa. Yaani hakika haki itendeke kwao ili liwe fundisho
Mananga kama wewe ni wa kusamehe kwa sababu kichwani hamna kitu. Civil unrest inatokeaje wakati mama anaupiga mwingi na tayari tuko kwenye uchumi wa kati? Itatokeaje wakati waarabu wanakuja kuchukuwa bandari waingize mamilini ya fedha ambazo zitabóresha maisha ya kila mwananchi? Au italetwa na mama yako?Nenda kawatete mahakamani unafikili police niwajinga waliwaacha mda mrefu wakajisahau na matamshi yao yenye utata. Walikuwa na nia nzuri ila strategy yao haikuwa nzuri kwa afya ya umoja wetu wa kitaifa. Pakitokea civil unrest tutaenda wapi watu wako frustrated na maisha hawajui babdari wala nini kitakachotokea ni looting na uharifu mwingine. Hawa jamaa walijiamini sana mpaka kukosa hekima kwenye matamshi yao.
😂😂😂😂🤣🤣Halafu uachage ubwege na ujinga utaungana na Mdude na haka la ID fake?!!
wana majeshi hata wapindue nchi?Taarifa kutoka kwa Adv. Philip Mwakilima na jopo; Adv.
@Mwabuk2Boniface
na
@mdudechadematz
wamefikishwa Mbeya na hati yao ya mashtaka ni makosa ya UHAINI (siyo kutoa maneno ya uchochezi) kwa mujibu wa kifungu cha 39 cha kanuni ya adhabu sura ya 16. Adhabu ya kosa hilo ni KIFO