miss tiffah
New Member
- May 16, 2024
- 1
- 1
Naskia Kuna pension ya Kila mwezi je pia nayo hapati?
Na haswaaaa na hii ndio ilikuwa maana ya bandiko langu. Kwamba tusisubiri mpaka yatufike shingoni ndio tukurupuke na kulaani,inakuwa too late. Ni vizuri tucheze karata zetu kwa usmart pale tunapoambiwa hiki si sahiiKwahiyo hadi yakukute ndo uonde uhalisia, we ni mjinga
Tunafahamu kuna viapo, hakuna aliyesema waandamane. Lakini kuna passive way of resisting an injustice policies, hata kutumia watoto wao. Pia na wao kutokuwa mstari wa mbele kuwahadhibu wale wanaotetea marupurupu yao. Unakuta askari kakomaa na fimbo anachapa na kupiga kwa furaha mtu ambaye anatetea mafao ya uzeeni yaliyo bora. Huyu askari hajui anayempiga infact anatetea maslahi ya police mwenyewe.HIVI nyie mnaowasema askari,mnazijua protocal na viapo vyao?au mnajisemea tu...brabrabra
Hahahaha aise daah🤣🤣🤣Itazoeleka kwa ugumu, baada ya miaka 5
Nyumbu huishia kushuhudia kwa macho bila kusema wala kufanya juhudi za kuokoa mwenzao anapoliwa na Simba.Ebu elezea mtaalamu unamaanisha nini...... ?
Unamuumiza!hizo piki piki ni risk free!!?Hiyo milioni 10 anunue pikipiki 2 ambazo ni almost 6m awe analetewa hesabu hiyo nne ndiyo akahangaike kutafuta shamba ambalo halitazidi 1m aanze kilimo mdogomdogo ataweza kuwa na uzee mwema kidogo
kama yuko mjini bora amvue mtu bajaji itamsaidia kuliko kukimbilia kulima.Hiyo milioni 10 anunue pikipiki 2 ambazo ni almost 6m awe analetewa hesabu hiyo nne ndiyo akahangaike kutafuta shamba ambalo halitazidi 1m aanze kilimo mdogomdogo ataweza kuwa na uzee mwema kidogo
Atawalisha nini hao ng'ombe?Unamuumiza!hizo piki piki ni risk free!!?
Bora anunue shamba hata la eka mbili anunue ng'ombe was maziwa hata watatu kwa 6m,zizi kwa m 1 ajenge afuge pole pole!!apate maziwa ya kuuza!!
RAIS WENU MAGUFULI NA WABUNGE WENU NDIO WALIOPITISHA HIYO SHERIA.
Umesema ukweli kabisa!
Akaitolee sadaka bajaji isipate ajali!!kama yuko mjini bora amvue mtu bajaji itamsaidia kuliko kukimbilia kulima.
duh huyo hana zaliAkaitolee sadaka bajaji isipate ajali!!
Jamaa yangu hapa alikopa million 9 akanunua bajaji hapo dar ikaibiwa!Hadi leo ana topup tu!
AjaniAtawalisha nini hao ng'ombe?
Mkuu kwa ng'ombe gharama zitamzidia maana kuna dawa na matunzo mengine yatararua hicho kidogo alichonacho arudi mavumbini alipotoka mapema bora boda ambayo akishanunua akapata vijana wake wa mkataba yeye ni kusebu 70k kila wikiUnamuumiza!hizo piki piki ni risk free!!?
Bora anunue shamba hata la eka mbili anunue ng'ombe was maziwa hata watatu kwa 6m,zizi kwa m 1 ajenge afuge pole pole!!apate maziwa ya kuuza!!