Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,946
- 6,084
Hii tamthilia ya Mpali ina story nzuri sana ambayo inaeleweka. Ni bwana Nguzu na wakeze sita kule shamba kwao.
Sasa ukija kwenye tamthilia za kitanzania, unakuta story ni ndefu mpaka inaboa yaani.
Director analazimisha story isiidhe ili aendelee kupiga pesa. Matokeo yake inapoteza mvuto.
Hakika wasanii na ma-director wa kitanzania wana cha kujifunza kwa tamthilia ya Mpali inayorushwa na Dstv.
Sasa ukija kwenye tamthilia za kitanzania, unakuta story ni ndefu mpaka inaboa yaani.
Director analazimisha story isiidhe ili aendelee kupiga pesa. Matokeo yake inapoteza mvuto.
Hakika wasanii na ma-director wa kitanzania wana cha kujifunza kwa tamthilia ya Mpali inayorushwa na Dstv.