Wafanyakazi wote nchi nzima tuungane na kufanya yafuatayo kuhusu vita ya kikokotoo

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,306
12,971
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua mamilioni yao kwa mkupuo wakijufanya wao ndio wenye akili zaidi ya kujua matumizi ya pesa kuliko wafanyakazi wote wa ngazi za chini, kati na juu.

Mimi nashauri wafanyakazi wote nchi nzima tuanze kampeni kubwa na kufanya yafuatayo:

Kwanza tuwatambue kwa majina, nafasi zao na majimbo wanakotoka wale wote walioanzisha wazo la kikokotoo tuhakikishe tubafanya kampeni kubwa kuhakikisha kama ni Wabunge au mawziri hawarudi tena bungeni 2025 Hili lisiangalie mtu, cheo, itikadi au jinsia yake.

Kampeni kubwa ipigwe kupitia mitandao ya kijamii na mikutanoni na kuwatangaza wazi kuwa hao no maadui wa wastaafu katika nchi hii. Kupitia njia mbali mbali tuanze kuorodhesha maadui hao na kuaanza kuwaduta popote walipo na chochote wafanyacho.

Pili tuwatambue kwa majina, nafasi zao na majimbo watokako wale wote walioungana na wafanyakazi kupinga kikokotoo. Hawa tuwatie moyo, tuungane nao, tuwaunge mkono 2025 Hapa pia tuwe makini na wanafiki na machawa wote.

Nadhani ni kwa namna hiyo tu tutakuwa timewaonesha kwa namna gani nguvu yetu ni kubwa

Nawasilisha
 
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
 
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
Vipi kama wabunge nao kama waliingia kwenye huu mpango wakipewa kidogo kidogo au wao wanaakili sana za kutumia kuliko wastaafu wengine?

Acheni Roho mbaya, wafanyakazi wa cadre ya chini Ile lumpsum ndiyo inaziba mashimo baada ya kustaafu...Kisha Ile pension ya mwezi ongezeko lake ni kiduchu sana kumshawishi mstaafu kukubali maelezo yako
 
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
Babu yangu ama miaka 22 sasa tangu astaafu.
Hiyo limitation ya kulipwa siyo sahihi ni kukadiria life span ya mtu kwamba akifikisha 72 awe amekufa ama afe.🥲
 
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua mamilioni yao kwa mkupuo wakijufanya wao ndio wenye akili zaidi ya kujua matumizi ya pesa kuliko wafanyakazi wote wa ngazi za chini, kati na juu.
Msiwafanye wananchi wajinga nyie wafanyakazi wa serikali na wabunge wenu

Wananchi inabidi tuingie mitaani kupinga asilimia 15 serikali iliyowachangia michango ya pension kila mwezi kutokana na kodi zetu iondolewe kwenye kikokotoo

Haiwezekani mnalipwa mishahara wengine hata ajira hawana mnachangia mifuko ya pension asilimia 5 tu halafu serikali inakamua tena walipa kodi inawachangia asilimia 15 kila mwezi mifuko ya pension Huo ni wizi .Hizo asilimia 15 kama zimo humo.kwenye kikotoo zitolewe zirudi hazina zipelekwe kwa vijana wasio na ajira wakajiajiri nyie chukueni pension asilimia tano tu mlizochangia

Kodi zetu hizo asilimia 15 tunazitaka wananchi ..Mnalipwa mara mbili nyie wafanyakaxi wa serikali kwanza mnalipwa mishahara halafu tena mnalipiwa asilimia 15 ya michango ya pension .Hilo haliko sawa .Hizo asilimia 15 ziende kwenye mfuko.wa kusaidia wasio na ajira wakiwa naxo nao watachangia asimia tano

Nyie wafanyakazi wa serikali na wabunge ndio mnaokula sana keki ya nchi.Wafanyakazi tunataka asilimia 15 hiyo irudi hazina msiichukue chukueni asilimia tano yenu hiyo haki yenu
 
Laana ya
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
Laana ya Mungu iwapige watu kama hawa na kizazi chake chote. Wizi wa fedha za wastaafu ni watu kulewa madaraka waliyonayo kwa maana wao hakiwagusi. Kama hakina madhara kwa nini isiwe kwa watumishi wote?.
 
Acheni kuchochea vurugu, kikokotoo ni kizuri mnachohitaji ni elimu tu.
 
Sasa kama hauna ajira si ukale shambani, ulipwe kama nani?
Kodi zinachukuliwa kwenye mazao yetu ili tuwalipie nyie wafanyakaxi qsilimia 15 za pension zenu wakati wakulima hatuna pension serikali inatulipia hata asilimia moja

Si sahihi hiyo asilimia 15 ya serikali iondolewe kwenye kumlipa mfanyakazi wa serikali pension achukue asilimia tano yake tu kumpa na hiyo 15 huo unyonyaji na ubaguzi kwenye nchi
 
Laana ya

Laana ya Mungu iwapige watu kama hawa na kizazi chake chote. Wizi wa fedha za wastaafu ni watu kulewa madaraka waliyonayo kwa maana wao hakiwagusi. Kama hakina madhara kwa nini isiwe kwa watumishi wote?.
Hicho kikotoo kwanza wanawapa hela nyingi ambazo serikali imechukua kwa walipa kodi kuwalipia asilimia 15 ulaaniwe mwenyewe mwizi mkubwa wewe Hiyo asilimia 15 serikali iliyokuwa inakulipia ni wizi kuibia wananchi kodi zao wakupe wewe. Wakati mshahara walishakulipa halafu wanakulip8a tena asilimia 15 pesa za mlipa kodi .Huu ni wizi

Unachotakiwa kulipwa kwanza ni hiyo asilimia 5 tu .Hizo 15 ziondolewe kwenye hicho kikokotoo zirudi hazina ni kodi za ziada za,wananchi ambazo badala ya serikali ziende kufanya kazi zingine zinaenda kutembeza mgao kugawia asilimia 15 kila mwezi kuwachangia pension
 
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua mamilioni yao kwa mkupuo wakijufanya wao ndio wenye akili zaidi ya kujua matumizi ya pesa kuliko wafanyakazi wote wa ngazi za chini, kati na juu.

Mimi nashauri wafanyakazi wote nchi nzima tuanze kampeni kubwa na kufanya yafuatayo:

Kwanza tuwatambue kwa majina, nafasi zao na majimbo wanakotoka wale wote walioanzisha wazo la kikokotoo tuhakikishe tubafanya kampeni kubwa kuhakikisha kama ni Wabunge au mawziri hawarudi tena bungeni 2025 Hili lisiangalie mtu, cheo, itikadi au jinsia yake.

Kampeni kubwa ipigwe kupitia mitandao ya kijamii na mikutanoni na kuwatangaza wazi kuwa hao no maadui wa wastaafu katika nchi hii. Kupitia njia mbali mbali tuanze kuorodhesha maadui hao na kuaanza kuwaduta popote walipo na chochote wafanyacho.

Pili tuwatambue kwa majina, nafasi zao na majimbo watokako wale wote walioungana na wafanyakazi kupinga kikokotoo. Hawa tuwatie moyo, tuungane nao, tuwaunge mkono 2025 Hapa pia tuwe makini na wanafiki na machawa wote.

Nadhani ni kwa namna hiyo tu tutakuwa timewaonesha kwa namna gani nguvu yetu ni kubwa

Nawasilisha
LABDA WAFANYAKAZI WA KENYA
MKITISHIWA KUFUKUZWA KAZI WOTE MNAUFYATAAA
 
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
Ujinga huu usimpangie matumizi mtu pesa zake
 
Hakuna mtu hata mmja Hadi Sasa ambae Ametoa na kuonesha ubaya wa kikokotoo.

Mimi ukiniambia ubaya wake nitjwambia haupo isipokuwa marekebisho yafanyike pale waliposema mstaafu atalipwa Kwa miaka 12.5 baada ya kustaafu.

Pili ubaya upo kwenye sheria iliyofuta fao la Kujitoa pekee.

Kwa maoni yangu kupunguzwa Kwa kiwango Cha malipo ya mkupua na kuongeza kwenye malipo ya mwisho wa mwezi Ina faida Kwa mstaafu kuliko kama.wangepewa hela kama awali.

Wastaafu wengi wamepigwa pesa na wanaishia Kufa na kutusumbua Kwa kuwa wengi pesa hupotea Kwa vile hawana financial management.

Naunga mkono kikokotoo maana hakuna anaeonesha ubaya wake ila Kuna.ushabiki.
Magufuli alisema watupe tukafie huko...
Mpe mtu chake atajua mwenyewe...
Sio jambo jema kumpangia mtu mzima matumizi.
Mchuma janga hula na wa kwao.
Sio lazima umsaidie kila anaehitaji kutoka kwako, fuata utashi wako kwa wakati huo.
 
Kodi zinachukuliwa kwenye mazao yetu ili tuwalipie nyie wafanyakaxi qsilimia 15 za pension zenu wakati wakulima hatuna pension serikali inatulipia hata asilimia moja

Si sahihi hiyo asilimia 15 ya serikali iondolewe kwenye kumlipa mfanyakazi wa serikali pension achukue asilimia tano yake tu kumpa na hiyo 15 huo unyonyaji na ubaguzi kwenye nchi
Wakulima tumewapa pembejeo na mbolea za ruzuku, hebu jikite huko ili uzalishe chakula.... tunahitaji kula ili tulitumikie Taifa hili.
 
Back
Top Bottom