pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 240
- 453
Huwa nawaza hawa watumishi wa umma wanapatikanaje aisee ukienda ofisi za umma licha ya kuwa na majibu ya hovyo bado unakuta mtu amevaa sijui nini msabato siyo msabato tabu tupu angalia mabenki ya binafsi jinsi wadada wanawaka angalia hospitali binafsi mpaka unatamani uumwe nenda sasa hizo hospitali za serikali utashangaa utakuta wadada wamenyoa nywele milli imejinenepea hovyo majibu mabaya hebu "utumishi na wenzio mkaliangalie hilo"