Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,989
- 23,501
- Thread starter
- #21
Unajua maana ya haramu ukifika nchi ya watu bila kufwata mwongozo pamija na immigration we n haramu mkuuKwani watanzania nao ushaona wanazamia Ethiopia ama kuita?
Kwanza kuwaita watu haramu snini ni ubaguzi tu. Sijawahi kusikia waethiopia wakifanya uhalifu hapa nchini.
Sisi kuwa sehemu ya njia kwao kupita kwa nini iwe mateso kwao? Yaan tumekaa barabarani afu tunawazuia wapitaji.
Tuwawekee utaratibu wa kupita ambao ni rahisi tu. Moja ya haki za binadamu ni free movement sasa hawa kila siku wanaleta habari kuwa wamewakamata brabraa.