Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,636
- 23,074
Majuzi niliongelea swala moja la kushangazaaa
Kwa nn kila wanapokamatwa wasomali ama waethiopia atuambiwi dreva na waliohusika wamekamatwa??
Mjini moshi waethippia 41 wamekamatwa wakitokea kwao
Maswali haya yanatishia mipaka yetu sana
1.Mkuu wa immigration boda nambanga je hawa wamepitia wapi??
2.Nani alieruhusu kundi zima hilo kupita bila passport na docs halali za kuingia nchini
3 je polisi wa maeneo ya immigration n kweli hawajawaona hawa watu wanapopita??
4.Baada ya boda ya namanga kuna mapolisi wako njian wanasimamisha malori na ma basi wakishirikiana na immigration
Swali hawa watu wa zamu sikuhioo walikuwa wapi??
5.Je unajua ukiona wamekamatwa hivi ujue wamechomwa yaan kuna mtu karukwa kwenye mgao....
Hiili genge inaonekana n kubwa sana sanaa mh mkuu wa immigration fanya maamuzi maalum mama....
Wakitokea wahun hawa kukamatwa toaa wahusika wa boda peleka ukoo zbz mbali kabisa na maeneo ya boda
Wahusika wakuu wa polisi iteni waliokuwa zamu sikuhio wamepita hao wahamiaji haramu weken chini toen hapo boda wote waliokuwa zamu nje ya hapo haya maigizo kutuonyesha wamekamatwa kadhaa yafeeeee....
Mwisho na nyie tuanze kuita watanzania haramu kwa kushiriki kuwasaidia hawa wahuni kila siku wao mbona sisi atukamatwi uko 🇪🇹??
Kwa nn kila wanapokamatwa wasomali ama waethiopia atuambiwi dreva na waliohusika wamekamatwa??
Mjini moshi waethippia 41 wamekamatwa wakitokea kwao
Maswali haya yanatishia mipaka yetu sana
1.Mkuu wa immigration boda nambanga je hawa wamepitia wapi??
2.Nani alieruhusu kundi zima hilo kupita bila passport na docs halali za kuingia nchini
3 je polisi wa maeneo ya immigration n kweli hawajawaona hawa watu wanapopita??
4.Baada ya boda ya namanga kuna mapolisi wako njian wanasimamisha malori na ma basi wakishirikiana na immigration
Swali hawa watu wa zamu sikuhioo walikuwa wapi??
5.Je unajua ukiona wamekamatwa hivi ujue wamechomwa yaan kuna mtu karukwa kwenye mgao....
Hiili genge inaonekana n kubwa sana sanaa mh mkuu wa immigration fanya maamuzi maalum mama....
Wakitokea wahun hawa kukamatwa toaa wahusika wa boda peleka ukoo zbz mbali kabisa na maeneo ya boda
Wahusika wakuu wa polisi iteni waliokuwa zamu sikuhio wamepita hao wahamiaji haramu weken chini toen hapo boda wote waliokuwa zamu nje ya hapo haya maigizo kutuonyesha wamekamatwa kadhaa yafeeeee....
Mwisho na nyie tuanze kuita watanzania haramu kwa kushiriki kuwasaidia hawa wahuni kila siku wao mbona sisi atukamatwi uko 🇪🇹??