BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,133
- 10,847
Mtu akitaka kuishi na wewe kanuni ni kutambulishana kwa wazazi wa pande zote mbili tena physically kama kwao ni mbali hakikisha mnaenda achana na biashara za kutambulishwa kwenye simu ama video call kama ni Kigoma pandeni Saratoga muende.
Flat TV, sofa set, bedsofa, friji na sabufa zisifanye uforce ndoa wewe ni mtu wa thamani sana kama mtu anakupenda basi ataenda kujitambulisha kwenu.
Miongoni mwa vitu navyojutia ni kuishi na mtoto wa mtu bila ya kwao kuwa na taarifa.
Flat TV, sofa set, bedsofa, friji na sabufa zisifanye uforce ndoa wewe ni mtu wa thamani sana kama mtu anakupenda basi ataenda kujitambulisha kwenu.
Miongoni mwa vitu navyojutia ni kuishi na mtoto wa mtu bila ya kwao kuwa na taarifa.