Wenzetu wanachanganya tu.Kichuguu kwenye post #2 mbona jina #1 na jina #2 ni majina ya kiume?
Wenzetu wanachanganya tu.Kichuguu kwenye post #2 mbona jina #1 na jina #2 ni majina ya kiume?
Alex ni ufupisho wa kwa jina la kike ni AlexandraKuna majina ni unisex!! Mfano Tumaini, Bahati, Zawadi/Gift, Baraka etc
Mara mwenzake ampe banzi la teke la tumbo atoe na mimba yenyewe. Ni upuuuzi tu kuforce mambo wanawake na shughuli za kiume wapi na wapi?KIASILI TU HUU MCHEZO SIO WA WANAWAKE NI VILE TU DUNIA INAFORCE WANAWAKE TUWE SAWA. SASA MTU AKISHAKUWA NA MIMBA YA MIEZI HATA MIWILI ATAWEZA KWELI KUCHEZA DK 90 ????
HAYA AKISHAJIFUNGUA ATARUDU UWANJANI KWA MUDA UNAITAKIWA?? AKIJIFUNGUA KWA OPERATION NDIO KABISA ATAKAA ZAIDI YA MWAKA NA NUSU NJE YA UWANJA. ? BADO TIMU IKUVUMILIE NA IKULIPE MSHAHARA HEWA.???
NB
MPIRA SIO MCHEZO WA WANAWAKE NDIO MAANA WACHEZAJI WENGI WA KIKE WANAKUWA NA TABIA ZA KISELA.