NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,383
- 12,946
Hili ndiyo taifa lenye wachambuzi wa ajabu kabisa katika tasnia ya mpira wa miguu, wachambuzi wengi walijifungia Mwanza toka waliposikia kuwa timu itachinja ng'ombe 25, wamesahau kabisa kuwa kengold kutoka Mbeya nayo imepanda ligi kuu na ndiyo timu iliyoongoza kwa point 70 na kufuatiwa na pamba iliyopata point 67
lakini ukisikiliza redio na wachambuzi wa michongo wanaisifu Pamba muda wote utadhani imepanda peke yake ligi kuu
oya wachambuzi wa clouds media na wachambuzi wengine chambueni timu zote na siyo kuchambua timu moja kwa kua mmekula ng'ombe
lakini ukisikiliza redio na wachambuzi wa michongo wanaisifu Pamba muda wote utadhani imepanda peke yake ligi kuu
oya wachambuzi wa clouds media na wachambuzi wengine chambueni timu zote na siyo kuchambua timu moja kwa kua mmekula ng'ombe