ngenya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,275
- 1,687
Asali iko wapi hapo?
Mbowe ni mtoto wa Ikulu wewe,hakuna kinachomshangaza hapo.
Alikuwa kuchukua maelekezo nini cha kusema kwenye kikao.
Asali iko wapi hapo?
Mbowe ni mtoto wa Ikulu wewe,hakuna kinachomshangaza hapo.
Umesema kweli mkuu. Watu wanachukulia haya mambo kirahisi rahisiSishawishiki saana kuamini mchango wako ingawa pia nashindwa kukupinga at the same time, najiuliza; hivi kwa mazingira yale enzi za mwendazake, hao wapinzani wa kweli (ambao wewe unasema hawapo ) hivi wangefanyaje ili tujue kwamba tunao wapinzani wa kweli? Mtu kabomolewa jengo lake la biashara (Bilcanas club ), kafungiwa chombo chake cha habari (Tanzania Daima ), kang'olewa green gaden yake, mbomoaji ambaye alikua DC kapandishwa cheo hadi kua mkuu wa mkoa baadae kapewa UBUNGE, kavunjwa miguu yake muda mfupi kabla ya uchaguzi, halafu accounts zake zote (za biashara na hata ya mshahara wake wa ubunge ) zikafungwa, hachukui hata mshahara cause account imefungwa, wabunge wake wametongozwa almost wote ili "waunge mkono juhudi" hivi mtu wa namna hiyo alitakiwa kufanya nini zaidi ili tujue kama ni MPINZANI!? Tumejaribu kuvaa viatu vyake kweli?
Kweli duniani hakuna usawa.Ingekuwa kwa matakwa yangu kuna wengine wengi tu bungeni ambao ni matokeo ya kughushi.
Mtendee Lissu haki mkuu.Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.
Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.
Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.
Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.
Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Bila aibu unamtetea yule SHetani maaluni?? Jini lililotokezea likajifanya mwanadamu likaishi nasi likatutenda kijinijini na kuzaa vitoto vikorofi visabaya na vimakonda vijini vidogo vingi!??Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.
Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.
Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.
Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.
Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Ni mfungwa wa kisiasa...hayuko huru.Kwa kuwa yeye ni nani?
Anajitangazia bei. Atachukua chake mapema halafu nyumbu watabaki kujiliza humu JFWanajitahidi kuwashawishi CHADEMA wawasamehe ili waponee aibu yao ya wizi uliopitiliza wa kura halali. Aibu yao!
Wanaanza kumkaribisha Mh.Mwenyekiti White House mara kwa mara.
Kisheria CHADEMA wakisha washa moto kuwa uchaguzi 2020 ulikuwa wa kughushi, bunge lote lina kosa uhalali wa kuwepo.Kweli duniani hakuna usawa.
Asilimia 75% ya wabunge wa ccm ni w kufoji lkn akina Mdee pekee wanaenda kufukuzwa.
Ingefaa haki itendeke kwa wote.
Uchaguzi urudiwe basi tu.
Halafu unakuta mtu anasema Magufuri alikuwa rais wa wanyonge,yule alikuwa diktetaUchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.
Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.
Watanzania wanalijua hilo.
Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!
Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!
Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.
Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.
Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.
Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
Hii kitu haifai kupita hivivhiviKisheria CHADEMA wakisha washa moto kuwa uchaguzi 2020 ulikuwa wa kughushi, bunge lote lina kosa uhalali wa kuwepo.
Waulizwe wanyonge aliwafanyia nini?Halafu unakuta mtu anasema Magufuri alikuwa rais wa wanyonge,yule alikuwa dikteta
Hii kitu imekifedhehesha sana chama CCM.Hii kitu haifai kupita hivivhivi
Na aliyewakumbatia wabunge 19 na kuwaapisha kimagufuli naye siyo spika tena baada ya kulazimishwa kujiuzulu.Na aliyeapishwa kimagumash sasa hivi yuko six feet under.
Elimu ya wanyonge haiwaruhusu kuelewa mambo ya msingi!!Waulizwe wanyonge aliwafanyia nini?
Yathibitishe hapa hayo maelekezo aliyopewa ili tusioyafahamu tuyajue huenda mlikuwa pamoja ATI!Alikuwa kuchukua maelekezo nini cha kusema kwenye kikao.
naona rais alimuita mbowe janaUchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.
Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.
Watanzania wanalijua hilo.
Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!
Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!
Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.
Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.
Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.
Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
Angekuwa mtu mweñye bei yaani wa kununuliwa angeshanunuliwa mapema Sana! Nimjuavyo mimi Hana kaliba hiyo kwani anajitosheleza na ana uchungu wa moyoni Kwa Yale waliyomtendea ikiwepo kumweka magereza mara nyingi Kwa makosa ya kutengeneza!Anajitangazia bei. Atachukua chake mapema halafu nyumbu watabaki kujiliza humu JF
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Na aliyeapishwa kimagumash sasa hivi yuko six feet under.
Aliyevuruga ule uchaguzi Mungu kampa pigo la historia, rais wa kwanza wa Tz kufia madarakaniLawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.
Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.
Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.
Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.
Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Safi kabsa! Na aliye ratibu kuteka,kutesa na kuuwa anaishi Kama digidigi mwituni. Assume maisha ya digidigi pale Ngorongoro au Serengeti. Hajui kama kutakucha salamaNa aliyeapishwa kimagumash sasa hivi yuko six feet under.