Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Sishawishiki saana kuamini mchango wako ingawa pia nashindwa kukupinga at the same time, najiuliza; hivi kwa mazingira yale enzi za mwendazake, hao wapinzani wa kweli (ambao wewe unasema hawapo ) hivi wangefanyaje ili tujue kwamba tunao wapinzani wa kweli? Mtu kabomolewa jengo lake la biashara (Bilcanas club ), kafungiwa chombo chake cha habari (Tanzania Daima ), kang'olewa green gaden yake, mbomoaji ambaye alikua DC kapandishwa cheo hadi kua mkuu wa mkoa baadae kapewa UBUNGE, kavunjwa miguu yake muda mfupi kabla ya uchaguzi, halafu accounts zake zote (za biashara na hata ya mshahara wake wa ubunge ) zikafungwa, hachukui hata mshahara cause account imefungwa, wabunge wake wametongozwa almost wote ili "waunge mkono juhudi" hivi mtu wa namna hiyo alitakiwa kufanya nini zaidi ili tujue kama ni MPINZANI!? Tumejaribu kuvaa viatu vyake kweli?
Umesema kweli mkuu. Watu wanachukulia haya mambo kirahisi rahisi

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Mtendee Lissu haki mkuu.
Huyo aliutoa uhai wake rehani alibaki peke yake akikemea maovu...ulitaka afanye nini?
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Bila aibu unamtetea yule SHetani maaluni?? Jini lililotokezea likajifanya mwanadamu likaishi nasi likatutenda kijinijini na kuzaa vitoto vikorofi visabaya na vimakonda vijini vidogo vingi!??
 
Kweli duniani hakuna usawa.
Asilimia 75% ya wabunge wa ccm ni w kufoji lkn akina Mdee pekee wanaenda kufukuzwa.
Ingefaa haki itendeke kwa wote.
Uchaguzi urudiwe basi tu.
Kisheria CHADEMA wakisha washa moto kuwa uchaguzi 2020 ulikuwa wa kughushi, bunge lote lina kosa uhalali wa kuwepo.
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.

Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.

Watanzania wanalijua hilo.

Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!

Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!

Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.

Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.

Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.

Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
Halafu unakuta mtu anasema Magufuri alikuwa rais wa wanyonge,yule alikuwa dikteta
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.

Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.

Watanzania wanalijua hilo.

Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!

Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!

Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.

Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.

Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.

Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
naona rais alimuita mbowe jana
 
Anajitangazia bei. Atachukua chake mapema halafu nyumbu watabaki kujiliza humu JF

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Angekuwa mtu mweñye bei yaani wa kununuliwa angeshanunuliwa mapema Sana! Nimjuavyo mimi Hana kaliba hiyo kwani anajitosheleza na ana uchungu wa moyoni Kwa Yale waliyomtendea ikiwepo kumweka magereza mara nyingi Kwa makosa ya kutengeneza!
Walimsukasuka Sana Kwa muda mrefu na angekuwa dhaifu Leo hii angekuwa mmoja wa mawaziri Kama angekubaliana nao. Bei yake ni kubwa mno na ilimshinda dalali bulicheka!
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Aliyevuruga ule uchaguzi Mungu kampa pigo la historia, rais wa kwanza wa Tz kufia madarakani
 
Back
Top Bottom