Wabantu tumehamia Tanzania. Ikitokea watu fulani wakija wakasema tuwapishe Tanzania ni ardhi ya babu zao tutakubali?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,820
33,566
Habari wadau.

Wengi tumejifunza kwenye historia kuwa wabantu walihamia Tanzania kwa makundi tofauti tofauti.

Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.

Je, itakuaje?
 
Habari wadau.

Wengi tumejifunza kwenye historia kuwa wabantu walihamia Tanzania kwa makundi tofauti tofauti.

Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.

Je, itakuaje?
History hyo hyo inasema hawakukuta watu zilikua nyika tupu
 
History hyo hyo inasema hawakukuta watu zilikua nyika tupu

Hii ni history ya upande wetu. Na wao wageni wana historia yao iliyoandikwa na vitabu vyao.

Hivyo wakituonesha maandiko ya vitabu vyao. Tutakubali kuwapisha ?

Ama wakisema tulikuta nyasi sababu wao walikuwa wamehama kukimbia ukame ama mvua kalii..

Sasa ndio wamerudi kwenye ardhi ya babu zao tuwapishe
 
Nazani Yale makabila asili Yao sijui Ethiopia sijui Sudan... Huu ndio wakati wao wa kwenda kwenye ardhi ya asili yao 😂

Hivi karibuni tumesikia kumbe ata hawa Wagogo, wanyatulu, wachaga nk ardhi Yao ya asili ni Ethiopia

Hivyo ni wakati muafaka sasa kwao kwenda huko 😂😂😂
 
Watanzania ni watu wataratibu sana kwenye amani, ila tukichokozwa basi tutafuta kizazi kizima cha hao mafala.

Idd Amin Dada ni funzo tosha, na kipindi kile tulikuwa na jeshi dhaifu na weak economy.

Hii dunia usipokuwa mbabe basi umeisha

Hawa Israel ni savages tu, mfano juzi hapa Canada na Zelensky walimualika Nazi veteran Canada na Zelensky akasimama kupiga makofi, Putin akawaita Canada wajinga na watu wakaamini alichosema kwamba Ukraine imejaa ma Nazi tu.

Zelensky anategemea media na misaada, sasa baada ya kuona dunia na media zinaanza kumsahau sababu attention imehamia Palestine na Israel, akaona achukue hiyo nafasi kujiboost asisahaulike hivyo akaomba kwenda kutembelea Israel hivi juzi hapa kizuri Netanyahu aka mpira chini, Zelensky kabaki analialia, na wananchi wa marekani wamekasirika na kuchachama sababu Biden anatoa hela nchini anaenda kuzimwaga Ukraine na Israel, wamarekani wanalia shida mpaka wengine wanashindwa kununua groceries.
Hahaha hadi wazungu wanalia shida kudadadeki.
Screenshot_20231017_005714_YouTube.jpg
Screenshot_20231014_072959_YouTube.jpg
Screenshot_20231014_073012_YouTube.jpg
Screenshot_20231014_072912_YouTube.jpg
 
Duniani mbabe ndo ataishi mzeee hii formula ipo miaka nenda rud soma historya ngoni magrtn utajua hapo ulipo haupo salama mpaka pale utakapo kufaaaaa
 
Habari wadau.

Wengi tumejifunza kwenye historia kuwa wabantu walihamia Tanzania kwa makundi tofauti tofauti.

Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.

Je, itakuaje?
Kwa tunaoshadadia Israeli na palestina tunaogopa kujibu kwakuwa swali la kimtego sana hili.
 
Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.
Na hasa wale waliokaribishwa Ngorongoro
 
Na hasa wale waliokaribishwa Ngorongoro
Siku nchi ikipata raisi m'masai wale waliopelekwa Msomera watarudishwa? ndicho una maanisha?

Wanao shabikia Israel-Palestina wakiwa Tanzania ni wanafki, yao yamewashinda tena hata kujadili tu hairuhusiwi ila sisi tunapambana ya weupe huko dunia ya kwanza.
 
Hakuna kiwango cha maneno kinachoweza tosha ku-illegalise haki ya waisrael mashariki ya kati.
Waisrael hawakuacha mapori mashariki ya kati bali Miji.



Uhame sehemu kisha baada ya miaka 2000 kizazi chako yaani wajukuu generation ya 20 ndio kirudi. Halafu kiwaambie watu huu mji ulijengwa na babu yangu.

Hata Tanzania tukiambia hivyo. Kwamba babu zetu walihama miaka 2000 iliyopita.. hivyo sisi tumerudi kwenye mji wa babu zetu. Tutakubali ?
 
Usilinganishe na israel na wapalestina. Kama kuna watu watadai ni ardhi yao tungejua wapo wapi na waliondokaje kwenye ardhi yao. Walete historia pasina shaka. Ki uhalisia hakuna wabantu watakaoinuka na kuanza kudai kipande chochote cha nchi hii. Kama wapo wajitokeze, ila hawapo, hoja hii ni ya kufirika tu kulinganisha na israel na palestina
 
Habari wadau.

Wengi tumejifunza kwenye historia kuwa wabantu walihamia Tanzania kwa makundi tofauti tofauti.

Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.

Je, itakuaje?
mmehamia tokea wapi? kama watakuwa na ushahidi, tutajua cha kufanya, ila kama hawana ushahidi, tutawafukuza. tofauti na ilivyo palestina, wayahudi wana vielelezo kabisa wakati palestina hawana ushahidi ila wapo pale. kinachopiganwa pale israel sio ardhi, ni dini hasa msikiti wa Al Aqsa, dini ndio inapiganwa pale sio ardhi.
 
History hyo hyo inasema hawakukuta watu zilikua nyika tupu
Inategemea hilo kundi mfano Wangoni wamekuja Tanzania miaka ya 1800 wakati Prince wa Iran alikuja Kusini (Kilwa) miaka ya 1200 Takriban miaka 600 kabla ya Wangoni.

Leo Wa Iran waki claim hilo eneo je utakubali?
 
Habari wadau.

Wengi tumejifunza kwenye historia kuwa wabantu walihamia Tanzania kwa makundi tofauti tofauti.

Najaribu kuwaza miaka hii wakitokea watu wapya kutoka mbali wakaja na kudai tuwapishe maana Tanzania ni ardhi ya babu zao walioishi miaka 1000 iliyopita. Hivyo walihama tu kwa sababu fulani na kuiacha ardhi yao tupu. Hivyo wamerudi kwenye ardhi yao tuwapishe.

Je, itakuaje?

Wenyeji wa Tanganyika ni wahadzabe ila hawana noma.
 
Uhame sehemu kisha baada ya miaka 2000 kizazi chako yaani wajukuu generation ya 20 ndio kirudi. Halafu kiwaambie watu huu mji ulijengwa na babu yangu.

Hata Tanzania tukiambia hivyo. Kwamba babu zetu walihama miaka 2000 iliyopita.. hivyo sisi tumerudi kwenye mji wa babu zetu. Tutakubali ?
Shida iko na katika ilo?.
Ngoja nikuulize na wewe uenda ukanipa jibu, ni kwa muda gani Asili ya mtu ina-expire?.
Na, ni nani alieuweka huo Muda?.
Shida ya huu Mgogoro ni entitled mentality waliyonayo waislamu. Waisrael si mara ya kwanza kuwa uhamishoni.

Zaidi ya mara 20 Israel imekuwa conquered na mataifa kigeni.
Romania empire , Assyrian, Babylonian, and Persian etc waliikalia Israel muda mrefu ila falme zao zilipoishiwa nguvu waliwaachia waisrael nchi yao.
Waliwaachia kwasababu hawakua na entitled mentality kama waliyonayo waislamu.
Wagiriki wangelikuwa na hiyo mentality ya kusema"mmeondoka muda mrefu, hapa si kwenu leo middle east kungelikuwa kumejaa Wagiriki.
Waroma wangelisema hivyo, leo kungelikuwa na waitaliano wengi hapo middle east but since hawakuwa na hiyo akili ndiyo maana waliondoka kwa Moyo mweupe japo wamekaa hapo miaka mingi.
Mambo yamekuja kubadilika baada ya othman empire kuingia hapo. Waislam ameshindwa k kufanya kama empire zingine zilivyofanya kwasababu ya mentality yao.
Hii mentality ndiyo inafanya hadi ugomvi wa kuchinja unaibuka. Una mbuzi wako muislam anataka akuchinjie usipokubaki ni Vita .
 
Back
Top Bottom