Waasi wa M23/AFC walalamika Tanzania kumkamata kiongozi wao aitwae Eric Nkuba na kumkabidhi kwa Serikali ya DRC

Watu wengi wamesahau yale yalokuwa yakifanywa na Hybyarimana dhidi ya watutsi kabla ya mauaji ya Kimbari.

Sasa hivi Tshisekedi amefeli mambo makuu matatu ambayo yatoa ishara ya kurudi kwa mambo yale ya miaka ya 1990s:

1. Ameshindwa kuwarudisha wakimbizi wa Congo DRC wanoishi uhamishoni katika nchi jirani kwa miongo zaidi ya miwili.

2. Ameshindwa kuukubali ukweli na kuzidi kukataa kuwatambua watutsi walozaliwa ndani ya Congo DRC ambao wao shida yao ni kutambuliwa kama raia halali wa Congo DRC. Watutsi hawa ndio wengi wanounda kundi la M23.

3. Kuwalinda watutsi hao wa Congo DRC na kuwabatiza majina kuwa hao ni wahalifu wa kigeni walojipenyeza kuingia Congo DRC na hivyo kuhimiza kampeni dhidi yao ambayo ni kuwadhuru na kuwaua jambo linosababisha M23 waendelee kupata mafunzo na vifaa vya kujilinda (tuhuma kwa Rwanda) dhidi ya udhalimu huo.

Tshisekedi pia amefanya jambo jingine baya sana ambalo ni kuwaingiza waasi wa Congo waso watutsi na kuwachochea hasira dhidi ya waasi wa M23 ambao ni watutsi wenye asili ya Rwanda walozaliwa Congo.

Kagame anavyokuja na kutoa kauli zake yabidi kuketi na kumwelewa maana amelenga kuzungumzia nguvu inotokea nje.

Huu mkono usoonekana (invisible hand) ni wa kuuogopa na kuchukua tahadhari ya juu na Tanzania inapojihusisha na mgogoro huu ni lazima ifanye hivyo kwa tahadhari na uangalifu.

Jambo la msingi hapa ni kuelewa kuwa waasi wa M23 wakalia hazina kubwa ya utajiri wa madini katika jimbo waliloko ya Kivu.

Nimeeleza katika uchambuzi wa masuala makuu ya msingi ya kuyatambua katika kutatua mgogoro wa waasi wa kitutsi na serikali ya Congo DRC hapa: Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

Kinoendelea hapa ni mtiririko wa matukio ambayo ipo siku hayataishia mahala pazuri.
Felix hajafeli
 

Waasi hao walalamika kuwa Bwana Eric Nkuba alikamatwa katika uwanja wa JK International Airport Dar es Salaam.

Mamalaka za Tanzania zilimkabidhi jamaa huyo kwa mamlaka za DRC na huko jamaa kashughulikiwa vibaya na kutema siri zote za waasi hao. Pia ametaja Rais Msitafu J. kabila ni mfadhili wa waasi hao.

Binafsi kama Mtanzania napongeza mamlaka zetu kwa jambo hili.

======

"Nangaa had already contained the tanzanian president about the arrest of Mr. Éric nkuba. Here is an extract from the mail:

"- The Congo River Alliance expresses to Your Excellency its deep concern about the kidnapping, since January 3, 2024, of one of its political executives in the person of Mr. Eric Nkuba Shebandu (52 years old) at the international airport from Dar es Salaam by Tanzanian immigration officials.

"- ⁠The information in our possession indicates that he was violently and expeditiously transported to Kinshasa the following day without any explanation. For two months, he has given no sign of life.

"- This is a political framework opposed to Mr. F.T. Tshilombo that your country has handed over to its executioner, without measuring the dark consequences on the life of the victim. A scenario which suggests thinking as if in its time, Tanzania could deliver to the government of Uganda (at the time), opponents of Idi Amin Dada and to Mobutu, its own.

"- We have just learned with pain that Mr. Eric Nkuba, after having suffered enormous torture, has just been executed. One more killing after those of Chérubin OkendeKENDE, Delphin Kahimbi, Mukunto, Judge Yanyi and others by the bloodthirsty regime of Kinshasa.

"- Assuming that this crime is established, should we understand that the United Republic of Tanzania will be historically responsible for it?

"- Is Tanzania, a land of peace, presenting us with the new image of its democracy while our country shares with it precious relations of cross-border fraternity, harmonious cooperation and irrevocably promising economic prospects?

"- We ask you, Excellency, to kindly shed some light on the circumstances of this kidnapping carried out in broad daylight in one of the most secure airports on the continent in defiance of international humanitarian law, by Tanzanian services while like the circumstances of his death for the benefit of the reciprocal solidarity which will eternally characterize our peoples.

"CLEARLY, IT WAS MADAME SULUHU WHO DELIVERED MR. ÉRIC NKUBA TO TSHISEKEDI WITHOUT KNOWING THAT SHE WAS EXPOSED HER COUNTRY TO SULFUROUS CRITICISM BECAUSE OF A FEW MILLIONS OF AMERICAN DOLLARS.

“NOW IS THE TIME FOR CHANGE.”


=====

Eric Nkuba Shebandu, 52 years old, on Wednesday, April 05, 2024 was shown to the media working in the Democratic Republic of Congo after his arrest in January, this year.

He was first arrested at the airport of Dar es Salaam in Tanzania, the government of this country returned him to the Democratic Republic of Congo.

This man at the end of 2023 was already the Secretary of the Party recently founded by Corneille Nangaa which is united with various groups including M23.

They called themselves Alliance Fleuve Congo and claimed to be fighting to end the dictatorship of President Felix Tshisekedi.

The correspondent of the French news agency, RFI, named Pascal Mulegwa, told X that the Tanzanian immigration department arrested Eric Nkuba Shebandu and returned him to the government of Kinshasa.

Mulegwa says that there is a letter written by members of Nkuba's family to the Tanzanian Ambassador in Kinshasa which contains a message stating that the way he was treated is not in accordance with international law.

Members of his family also criticize what Tanzania has done because it should not be done by such a country that is known to follow the principles of democracy.

When M23 aligned with Corneille Nangaa and other military groups, they created what they called the Alliance Fleuve Congo and confirmed that Corneille Nangaa would be the coordinator of this alliance.

At that time there were photos and videos posted on X showing Eric Nkuba Shebandu with Corneille Nangaa, Gen Makenga, Bertrand Bisiimwa, Col Byamungu and Col Nzinzi from M23.

View attachment 2955612
Eric Nkuba (front left)

View attachment 2955613
He was here with the M23 commanders

Undisclosed information from a neutral organization says that Eric Nkuba was arrested in January, 2024 by Tanzania and the Democratic Republic of Congo, which has not been released to the media for three months.

After his arrest, DRC investigators questioned the man and his associates about Joseph Kabila's name.

Listen to the video where he said it:

View attachment 2955599
Kipande cha mahojiano Éric Nkuba akiwataja John Numbi, Claudel Lubaya, Joseph Kabila, Joseph Olengankoy, Bob Kabamba, Adam Chalwe na Patient Sayba miongoni mwa “mawasiliano ya kisiasa” ya AFC.
Source: Taarifa

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
Kwani huyo Eric alikuja Dar kutafuta nini? Wasituletee shida zao huku
 
Congo Congo mna matatizo ya kurithi tokea Mfalme Leopold wa Belgium aue milioni 15 za wakongoman,mauwaji yakinyama yaliomkuta Prime Minister Patric Lumumba hadi leo Congo hamjajitambua hata mkibadirisha majina ya nchi kama chupi,hamjajifunza?
Eti mnapigwa na kakundi kadogo ka wanamgambo kutokea kanchi kadogo jirani ambako hakana bandari wala mtaji wa kutisha.Au nikupe Wakulya 100 kutoka Tarime wamalize mchezo?
Mnatia aibu sana kulalamika kila wakati kama watoto wachanga,wakati mna uwezo wa kujitatulia mambo yenu wenyewe,tokea miaka ya 60 mmekuwa wakimbizi hadi leo inasikitisha sana.
 
Huwa mnachukulia wakongomani wajinga km watanzania eeh ?
Hivi kwann ukweli huwa hampendi ? Kipindi kile mnaulizana khs JKK kugombea au kutogombea nilijibu humu kuw hagombei mkabisha mkitaka yenu...

Wkt nasema pia kuwa Moise Katumbi hashindi wala hawezi kuwa rais wa drc bado mkawa mnataka mnavyotaka

Yaani kwann watanzania huwa mnapenda mtu akudanganye ?

Huwa mnachambuaje mambo ?
Ukiona nini na nini hua unaamua kuhitimisha kwamba waTanzania ni wajinga?
 
Ukiona nini na nini hua unaamua kuhitimisha kwamba waTanzania ni wajinga?
Mimi nimefanya sana kazi chini ya mzee kabila na baada yake Joseph lakin kwa sasa nilifanya ikulu ya kishansha kwa miaka miwili kabla ya mabadiliko,ukweli ni kwamba current president anape da nchi yake iendelee ila kwa kufanya biashara kwa haki wakati matafika kama Rwanda abo ni agent wa wait wa nje hawatako..Hivyo presidaa yuko vizuri.
 
Mimi nimefanya sana kazi chini ya mzee kabila na baada yake Joseph lakin kwa sasa nilifanya ikulu ya kishansha kwa miaka miwili kabla ya mabadiliko,ukweli ni kwamba current president anape da nchi yake iendelee ila kwa kufanya biashara kwa haki wakati matafika kama Rwanda abo ni agent wa wait wa nje hawatako..Hivyo presidaa yuko vizuri.
We umesema kweli kabisa Mkuu ,sina cha kuongeza ..Maana mie niliishasema sana humu uzuri najua tawala zote kipindi cha Mzee hadi sasa Felix ..Ahsante sana Mkuu
 
1. M23 ni Rwanda. Muungano wowote ambao M23 yupo maana yake uko chini ya Rwanda.
2. Rwanda ina destabilize Congo DRC kupitia vikundi mbali mbali ili baadae imege territory.
3. Kukamata watu na kuwarudisha makwao sio jambo geni. Tanzania imekamata wanyarwanda wengi tu na kuwarudisha kwa Kagame, sisi tunaangalia maslahi yetu kama nchi.
jMali is back
 
Congo Congo mna matatizo ya kurithi tokea Mfalme Leopold wa Belgium aue milioni 15 za wakongoman,mauwaji yakinyama yaliomkuta Prime Minister Patric Lumumba hadi leo Congo hamjajitambua hata mkibadirisha majina ya nchi kama chupi,hamjajifunza?
Eti mnapigwa na kakundi kadogo ka wanamgambo kutokea kanchi kadogo jirani ambako hakana bandari wala mtaji wa kutisha.Au nikupe Wakulya 100 kutoka Tarime wamalize mchezo?
Mnatia aibu sana kulalamika kila wakati kama watoto wachanga,wakati mna uwezo wa kujitatulia mambo yenu wenyewe,tokea miaka ya 60 mmekuwa wakimbizi hadi leo inasikitisha sana.
Ndani ya Kongo kuna ukosefu wa uzalendo kwa wale walio pewa mamlaka za taasisi za nchi.

Baadhi ya watu wanao takiwa kulinda na kutunza asili mali za Kongo ndiyo wanao shirikiana na Wakoloni na wezi wa maliasili ya Nchi hiyo .

Ulaya, Marekani, na Asia ndiyo wanyonyaji wa Kongo wamejigeuza kupe mbele ya ngozi ya ng'ombe .

Rais wa sasa amekuwa tofauti na yule alie pita ,anajari masilahi ya Nchi yake na wananchi kwa ujumla ,apewe ushirikiano na wananchi na nchi rafiki za kiafrika ili kuwabana majambazi wa lasilima za Kongo na Afrika kwa ujumla.

Afrika imeibiwa vya kutosha.
 
EEeeenHeeeeee!

Hivi Makamba February alisemaje kuhusu ziara yake ya hivi karibuni akiwa kule kwa Bwana Fito? "The most fruitful visit", baada ya kukutana na Bwana Fito mwenyewe!

Mambo haya wakiyachukulia kwa pupa wataiingiza nchi hii ndani ya giza nene ambalo halijawahi kutokea hapa.
Bwana Makamba anaye mama tokea sehemu zile, na wengine kadhaa wenye asili ya huko wamo ndani ya serikali wakishikilia mamlaka makubwa. Punde si punde, tutajikuta tukichafuka hovyo, sababu ikiwa ni upuuzi wanaoufanya viongozi wasiojuwa hili wala lile kuhusu hii migogoro.

Hawa siyo watu wa kuchekeana nao hata kidogo.
 
Back
Top Bottom