Waasi wa M23/AFC walalamika Tanzania kumkamata kiongozi wao aitwae Eric Nkuba na kumkabidhi kwa Serikali ya DRC

Nadhani hapo amesema jambo baya litamfika Rais Samia.
Nadhani anasema Tanzania imejiaibisha kwa kufanya hili tendo la ukatili.
Nadhani anasema watu wamepokea hela kumpeleka Nkubi Kinshasa.
Nadhani Januari asahau kuwa rais.
Nadhani hili jambo tunapswa kulijadili tukipata muda.
 
1. M23 ni Rwanda. Muungano wowote ambao M23 yupo maana yake uko chini ya Rwanda.
2. Rwanda ina destabilize Congo DRC kupitia vikundi mbali mbali ili baadae imege territory.
3. Kukamata watu na kuwarudisha makwao sio jambo geni. Tanzania imekamata wanyarwanda wengi tu na kuwarudisha kwa Kagame, sisi tunaangalia maslahi yetu kama nchi.
 
1712419774488.jpeg
 
Hahahahaha...No comment , mwanasiasa ni mwanasiasa tu..we huoni mwenyekiti wa CENI Cornele Nangaa yuko pamoja na Eric hapo kwa picha ?
Wiki iliyomalizika, mkewe Kabila alipowatembelea wahanga wa mapigano kule kambini, alitumia nafasi hiyo kumuomba mmewe bwana Kabila arudi kwenye siasa, awache masuala ya masomo kwanza.

Nanga+serikali ya Kenya tangu Uhuru mpaka mpaka Ruto ni kundi moja na Kabila.

Hivi ile ziara ya Ruto na Museveni hapo Zanzibar kwa Samia kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan ilikuwa ni ya kawaida kweli?
 
Wiki iliyomalizika, mkewe Kabila alipowatembelea wahanga wa mapigano kule kambini, alitumia nafasi hiyo kumuomba mmewe bwana Kabila arudi kwenye siasa, awache masuala ya masomo kwanza.

Nanga+serikali ya Kenya tangu Uhuru mpaka mpaka Ruto ni kundi moja na Kabila.

Hivi ile ziara ya Ruto na Museveni hapo Zanzibar kwa Samia kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan ilikuwa ni ya kawaida kweli?
Mkuu No comments ,kuhusu DRC nilishaandika humu yote ...

Kuhusu hizo ziara mimi sijui

JKK kurudi ktk siasa kwa sasa bado na unahisi wa Congo watamchagua ?
 
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi ya Congo DRC au (Zaire) imekuwa na tatizo la kuwepo kwa Waasi kwa miaka yote tangu aondoke mkoloni wao Ubelgiji mwanzoni mwa miaka ya 1960??????? Umeshawahi kujiuliza swali hili na kulipatia majibu yake sahihi???

Tafakari, Chukua hatua!
Nafikiri wapo ambao bado wanafadhiliwa na makoloni yale kwa maslahi yao kama madini
Yaani nawaza tu maana ni miaka tunasikia machafuko huko
Halafu ni nchi zilizotawaliwa na hao au wafaransa ndio matatizo kibao
Je hawajashiba kama UK hao
 
Waasi hao walalamika kuwa Bwana Eric Nkuba alikamatwa katika uwanja wa JK International Airport Dar es Salaam.

Mamalaka za Tanzania zilimkabidhi jamaa huyo kwa mamlaka za DRC na huko jamaa kashughulikiwa vibaya na kutema siri zote za waasi hao. Pia ametaja Rais Msitafu J. kabila ni mfadhili wa waasi hao.
Kesho Mr Slim from a slim country atakuwa na hasira na Tanzania
 
1. M23 ni Rwanda. Muungano wowote ambao M23 yupo maana yake uko chini ya Rwanda.
2. Rwanda ina destabilize Congo DRC kupitia vikundi mbali mbali ili baadae imege territory.
3. Kukamata watu na kuwarudisha makwao sio jambo geni. Tanzania imekamata wanyarwanda wengi tu na kuwarudisha kwa Kagame, sisi tunaangalia maslahi yetu kama nchi.
Bro za siku. Nimekumiss madini yako

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
 
Sidhani kama anahitaji kuchaguliwa na wakongo wote zaidi ya regime yake tu.
Wacha tuone, mambo yataishaje
Huwa mnachukulia wakongomani wajinga km watanzania eeh ?
Hivi kwann ukweli huwa hampendi ? Kipindi kile mnaulizana khs JKK kugombea au kutogombea nilijibu humu kuw hagombei mkabisha mkitaka yenu...

Wkt nasema pia kuwa Moise Katumbi hashindi wala hawezi kuwa rais wa drc bado mkawa mnataka mnavyotaka

Yaani kwann watanzania huwa mnapenda mtu akudanganye ?

Huwa mnachambuaje mambo ?
 
1. M23 ni Rwanda. Muungano wowote ambao M23 yupo maana yake uko chini ya Rwanda.
2. Rwanda ina destabilize Congo DRC kupitia vikundi mbali mbali ili baadae imege territory.
3. Kukamata watu na kuwarudisha makwao sio jambo geni. Tanzania imekamata wanyarwanda wengi tu na kuwarudisha kwa Kagame, sisi tunaangalia maslahi yetu kama nchi.
Mkuu za masiku mingi
 

TOKA MAKTABA:​

25 March 2024

Paul Kagame: Felix Tshisekedi ni mgombanishi nambari moja eneo hili la Afrika​

Felix Tshisekedi mgombanishi anataka kuzigonganisha jumuiya ya SADC dhidi ya EAC asema rais Paul Kagame ktk mahojiano exclusive.

M23 ni wa Congole wanapigana huko DR Congo Mashariki kutokana na matatizo ya kina Felix Tshisekedi kiasi kwamba tayari tuna wakimbizi zaidi ya 100,000 waliokimbilia Rwanda kwa muda mrefu na mwaka huu 2024 tayari 15,000 wengine wameingia nchini Rwanda abainisha rais Paul Kagame alipoulizwa na mwandishi François Soudan kama M23 ni vikosi vya Rwanda.


View: https://m.youtube.com/watch?v=1_T_bOxmMV4
In an exclusive interview with @jeuneafriquewebtv , President Paul Kagame discussed Tshisekedi’s threats, his alliance with Ndayishimiye & FDLR and the M23

JE, UJIRANI MWEMA NA TSHISEKEDI

Mwandishi François Soudan anasema rais Felix Tshisekedi wa DR Congo yupo tayari kwa mazungumzo kwa masharti mawili.

Rais Paul Kagame asema hali hiyo inaweza kupatikana pale tu Rais Felix Tshisekedi atapofuta tamko alilolitoa kuwa DR Congo itaivamia Rwanda na kuungoa utawala wa serikali ya Rwanda toka mamlakani.

Source : Jeune Afrique

---
Rwandan President Paul Kagame insists his Democratic Republic of Congo (DRC) counterpart Felix Tshisekedi is to blame for escalating tension between the two neighbouring countries.

Speaking during a recent interview with Jeune Afrique, President Kagame said the conditions set by Tshisekedi were a stumbling block to peaceful resolution of ongoing instability in the Eastern DRC fueled by the ongoing fight between the Congolese army and the M23 rebel group.

President Tshisekedi had earlier demanded the withdrawal of Rwandan troops from Congolese territory as a precondition for meeting Kagame for discussions over the conflict.

He also said he was ready to meet Kagame on the condition of the precontaining of the M23 militia, which DRC accuses Rwanda of backing.

Reacting to the conditions, Kagame accused President Tshisekedi of manipulation and playing to the gallery of ‘external forces’.

“Tshisekedi has been able to manipulate individual leaders, countries and is now almost bringing a misunderstanding between and among regions. Because he was playing SADC (Southern African Development Community) against East Africa,” Kagame stated.

“Why don’t we therefore find a way of talking about it and not allowing Tshisekedi to dictate the terms of what must happen because we know he is wrong.”

Kagame said he could also declare his conditions but maintained that he won’t for the sake of finding a lasting solution to the conflict.

“I could also start by giving conditions, but it’s the wrong way to go about it,” he noted, adding, “I could also say that unless the FDRL is removed from Congo, I am not going to talk to President Tshisekedi. However, this does not serve the purpose of bringing peace.”

The Rwandan Head of State further noted that President Tshisekedi’s threats to invade Rwanda should not be taken lightly.

"I think he has the capacity to understand what he is saying as the leader of the country. That’s a serious problem I need to prepare for and take care of… This means that one night he could wake up and do something that you never thought normal people would do," he said in response to a question about whether he was concerned about Tshisekedi’s remarks during the campaign period last year, suggesting he could break off cautious diplomacy with Rwanda and declare war if re-elected.

Kagame’s recent remarks comes two weeks after he confirmed his readiness to engage in talks with Tshisekedi in order to tackle the crisis in eastern Congo.

The announcement followed mediation efforts led by Angola President João Lourenço, who is serving as the African Union’s mediator in the DR Congo crisis.
 
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nchi ya Congo DRC au (Zaire) imekuwa na tatizo la kuwepo kwa Waasi kwa miaka yote tangu aondoke mkoloni wao Ubelgiji mwanzoni mwa miaka ya 1960??????? Umeshawahi kujiuliza swali hili na kulipatia majibu yake sahihi???

Tafakari, Chukua hatua!
Watu wengi wamesahau yale yalokuwa yakifanywa na Hybyarimana dhidi ya watutsi kabla ya mauaji ya Kimbari.

Sasa hivi Tshisekedi amefeli mambo makuu matatu ambayo yatoa ishara ya kurudi kwa mambo yale ya miaka ya 1990s:

1. Ameshindwa kuwarudisha wakimbizi wa Congo DRC wanoishi uhamishoni katika nchi jirani kwa miongo zaidi ya miwili.

2. Ameshindwa kuukubali ukweli na kuzidi kukataa kuwatambua watutsi walozaliwa ndani ya Congo DRC ambao wao shida yao ni kutambuliwa kama raia halali wa Congo DRC. Watutsi hawa ndio wengi wanounda kundi la M23.

3. Kuwalinda watutsi hao wa Congo DRC na kuwabatiza majina kuwa hao ni wahalifu wa kigeni walojipenyeza kuingia Congo DRC na hivyo kuhimiza kampeni dhidi yao ambayo ni kuwadhuru na kuwaua jambo linosababisha M23 waendelee kupata mafunzo na vifaa vya kujilinda (tuhuma kwa Rwanda) dhidi ya udhalimu huo.

Tshisekedi pia amefanya jambo jingine baya sana ambalo ni kuwaingiza waasi wa Congo waso watutsi na kuwachochea hasira dhidi ya waasi wa M23 ambao ni watutsi wenye asili ya Rwanda walozaliwa Congo.

Kagame anavyokuja na kutoa kauli zake yabidi kuketi na kumwelewa maana amelenga kuzungumzia nguvu inotokea nje.

Huu mkono usoonekana (invisible hand) ni wa kuuogopa na kuchukua tahadhari ya juu na Tanzania inapojihusisha na mgogoro huu ni lazima ifanye hivyo kwa tahadhari na uangalifu.

Jambo la msingi hapa ni kuelewa kuwa waasi wa M23 wakalia hazina kubwa ya utajiri wa madini katika jimbo waliloko ya Kivu.

Nimeeleza katika uchambuzi wa masuala makuu ya msingi ya kuyatambua katika kutatua mgogoro wa waasi wa kitutsi na serikali ya Congo DRC hapa: Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

Kinoendelea hapa ni mtiririko wa matukio ambayo ipo siku hayataishia mahala pazuri.
 
Back
Top Bottom