Vyakula/matunda na tiba zake special thread

Nilikuwa Napenda Sana Kula Mboga Aina Ya Mgagani, Pamoja Na Mnavu
Kuna Jamaa Yangu Wa Bukoba Akaniambia Hizo Mboga Zote Ni Dawa Moja Kwa Moja Unapokula Ingawa Wewe Hujui, Akasema Zinatibu Vidonda Vya Tumbo

Kwa Kuwa Morogoro Mnavu Na Mgagani Ni Mwingi Imekuwa Ni Mboga Pendwa Sana Kwangu
Samahani Sina Pictures Za Mboga Ya Mgagani Na Mnavu Ambaye Ataweza Kuweka Pictures Itakuwa Vema Wasioujua

Ina Uchungu Kiasi Ila Ni Nzuri Sana Morogoro Maeneo Ya Kiloka Siku Za Jumanne, Ijumaa Kuna Gulio Inapatikana
download.jpg
 
Habari zenu wakuu??

Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake

Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia

Kiukweli ni kwamba hizi dawa zipo na Zina fanya kazi vizuri kuliko hata hizi za hospital's tulizo zizoea na kuziamini zaidi

Na Zina mchango mkubwa kwenye maisha yetu japo hazivumi na kuaminika sana

Na zifuatazo ni moja ya dawa ambazo Mimi mwenyewe nime wai zitumia kutibu magonjwa niliyo wai kutana nayo baada ya kushindwa kutibiwa hospital


1.baada ya kusumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa mda mlefu Kuna mzee alinishauri nitumie mlenda wa bamia/poli kwa kunywa kama uji/bila kitafunwa

Nilianza kujiskia vizuri ndani ya dakika tano baada ya kunywa na mpaka Sasa nimepona Nina miaka mi wili mzima kabisaa


2.nilikamatwa na ugonjwa wa bawasiri/uvimbe Sehemu ya haja kubwa

nilipo enda kwa doctor alini ambia huo ugonjwa dawa hana na matibabu yake ni operation na operation yake ni India nilishangaa Sana

Lakini Kuna MTU aliniambia kula Sana matunda kama matango, matikiti,ma chungwa,nk kwa mda wa wiki moja tu utapona

Nilipo fanya hivyo nilipona kabla sja kamilisha wiki

3.kuna mtoto wa jirani yangu 7 to 8 yrs alisumbuliwa na ugonjwa wa ngozi kukaka maa/kukauka/kutoa magamba/ukavu wa ngozi kwa mda mlefu yapata 4 years

Kwa bahati nzuri Kuna mzungu/mjeruman nilikuwa nafanya nae biashara alikuwa ana itwa Bora

alipo tembelea nyumbani kwangu alimuona yule mtoto wa jirani akicheza na mwenzie pale nyumbani

bwana Bora baada ya kumkagua alisema huo sio ugonjwa isipo kuwa ni upungufu wa vitamins hivyo aka shauri mtoto huyo kila mlo awekewe fruits/matunda

Nili mwita baba yake yule mtoto/jirani

tukiwa wote na mjeruman yule akapata maelekezo akafuata haikupita miezi sita yule binti ngozi na nywele zake zilianza kuludi kwenye uharisia wake na mpaka Sasa yuko sarama kabisa

4.kuna ile Hari ukitembea mda mlefu hasa kwa watu wa Nene unaanza kujiskia msuguano mapajani mithili ya vidonda vinavyo suguana

na huambatana na harufu mbaya unapo kaa au kupumzika ukiwa umetanua mapaja hiyo ni fangasi

Baadhi huamua hata kuvua nguo za ndani ili kuu epuka msuguano huo watembeapo kwa mguu umbali mlefu

Sasa wiki Jana tulikuwa hukoo mbeya uyole unaenda mbele ilee Barbara ya tukuyu unaikuta isyonje unakatisha kushoto unaikuta igoma kwa mbelee Sana unaikuta kituro/hifadhi ya kituro

Sasa kwa mbele zaidi kuna Sehemu inaitwa mwambwalo kwa wa wanji na wakinga huko

ukiwa huko milimani una weza kuliona bonde la usangu Kama ziwa kuubwa Sana

Maeneo hayo Kuna vilima vingi na. Bara bara si rafiki

Sasa nilikuwa na business partner wangu huko ni chibonge aliteseka Sana na ile Hari ya kutembea umbali mlefu na zile panda shuka za vilima

lakini tulipo fika kwa mwenyeji wetu alimwangalia jamaa yangu chibonge ana vyo tembea huku katanua miguu akacheka

Akampa pole akachuma rimao akalikata akampa bwana chibonge akasema kamua maji ya rimao hiri Kisha uya pake maeneo hayo yanayo kuuma yatauma ila baada ya hapo uta kuwa sawa

Baada ya chibonge kupaka kwa taabu aka mpa mafuta ya mgando aka mwambia ayapake ilinkuweka uraini au utelezi mapajani kuepusha msuguano

akamwambia una fangasi mapajani bwana bonge utajipaka rimao siku tatu utakuwa sawa

Baada ya kumaliza Mambo yetu tukarudi mjini

Nime mpigia simu chibonge leo hasubuhi kumjulia Hari

Cha ajabu ananiambia baada ya kutumia rimao kupaka yuko sarama Sasa hivi na kina chonmhakikishia usarama anadai Kuna harufu alikuwa ana iskia akikaa Kama uvundo imetoweka

Ndipo Nika gundua kwamba Kuna siri kubwa kwenye miti mimea na matunda yake juu ya afya zetu na uhai wetu

Sasa nawewe tuambie ulitumia dawa gani ya asiri ulipo ugua ugonjwa gani??

Pengine kunamtu ana subuliwa na tatizo ambalo una experience nalo ukamsaidia karibu..View attachment 2967264View attachment 2967265View attachment 2967266View attachment 2967267View attachment 2967268
images.jpg

1,Iwapo Kama utahitaji mwanao awe na ubongo unao tenda vizuri kazi

Basi jitahidi Kila mlo wake uwe na samaki au soup ya samaki

2,iwapo Kama unahisi Kama upo kwenye hatari ya kupata maradhi ya moyo/au unania ya kujikinga na maradhi ya moyo Basi tumia Sana samaki Kama chakula pendwa

3,Kama una kisukari au haupendi kukutana na kisukari

Basi jitahidi kutumia samaki Mara kwa Mara kwani nikinga dhidi ya kisukali

4.kama unahitaji mwanao asikumbwe na ugonjwa wa pumu Basi samaki ni chakula kinacho mfaa mno

5,Kama.una mzee unamlea nyumbani na Ana sumbuliwa afya ya macho

Basi samaki au supu ya samaki ita boresha afya yake

800px-Yellowtail_Barracuda.jpg

Samaki ni chakula kizuri na kitamu lakini pia ni dawa
 
View attachment 2975152
1,Iwapo Kama utahitaji mwanao awe na ubongo unao tenda vizuri kazi

Basi jitahidi Kila mlo wake uwe na samaki au soup ya samaki

2,iwapo Kama unahisi Kama upo kwenye hatari ya kupata maradhi ya moyo/au unania ya kujikinga na maradhi ya moyo Basi tumia Sana samaki Kama chakula pendwa

3,Kama una kisukari au haupendi kukutana na kisukari

Basi jitahidi kutumia samaki Mara kwa Mara kwani nikinga dhidi ya kisukali

4.kama unahitaji mwanao asikumbwe na ugonjwa wa pumu Basi samaki ni chakula kinacho mfaa mno

5,Kama.una mzee unamlea nyumbani na Ana sumbuliwa afya ya macho

Basi samaki au supu ya samaki ita boresha afya yake

View attachment 2975155
Samaki ni chakula kizuri na kitamu lakini pia ni dawa
Samaki wa baharini, mtoni, bwawani au ziwani? Na je akiungwa?
 
Back
Top Bottom