Viwanja vya starehe Dar ni vipi?

Kajeba

JF-Expert Member
Oct 15, 2020
832
1,973
wakuu
Nimekusanya nguvu kidogo nipo njiani kuja jiji la Chalamila

Huku Mbeya nimezoea kuburudika kwa bia na watoto wenye mizigo ya haja hapa mbeya pazuri yaani tunakesha amna kama popo full watoto mziki na bia unajistarehesha na pesa zako

Sasa nakuja huko, naombeni mnipe kiwanja kitakachonipa burudani zaidi ya hizi nilizoziacha Mbeya
 
u
wakuu
Nimekusanya nguvu kidogo nipo njiani kuja jiji la Chalamila

Huku Mbeya nimezoea kuburudika kwa bia na watoto wenye mizigo ya haja hapa mbeya pazuri yaani tunakesha amna kama popo full watoto mziki na bia unajistarehesha na pesa zako

Sasa nakuja huko, naombeni mnipe kiwanja kitakachonipa burudani zaidi ya hizi nilizoziacha Mbeya
usije Tabata, nimekushika mkono, utalikoga U.T.I ukilikosa gono 🤣
 
Back
Top Bottom