Vituko vya bongo movie

k-bee

JF-Expert Member
Aug 30, 2017
940
1,023
Rejea kichwa hii thread itazungumzia vituko(kasoro za uigizaji) vinavyopatikana katika filamu za kibongo ili kuweza kutambua makosa yao na kuboresha zaidi. Ukiweka na picha itapendeza zaid na kunogesha kile kilichokushangaza...!
 
Mzuka umeingia ndan ukiwa umevaa saa halafu unawashangaa uliowakuta ....Daaah hapa ni hatar na nusu
JamiiForums260823556.jpg
 
1-Kwenye maneno ya kiingereza yanayopita pale chini huwa wanajichanganya vibaya sana, mi pamoja na inglishi yangu ya ugoko lakini siwezi kuandika upumbavu ule

2- Binti aliyezaliwa familia ya kitajiri anashinda kavaa vikaptura vifupi mbele ya baba yake halafu maneno mawili la tatu kiingereza, kama kwenye hyo picha Ray ndio steringi na anatokea familia ya kimaskini basi lazima binti atampenda wataoana

3- Kwa mganga lazima kuwe ni porini wakati waganga wa siku hizi wanaishi mjini kwenye nyumba za bati la msauzi, halafu mganga anaongea kwa kufoka sana

4- Jini anatokea kavaa jezi ya Arsenal halafu wakati wa kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia halafu kushoto tena kisha anavuka huku anakimbia kuogopa kugongwa na bodaboda

5- Jambazi eti lazima avae koti refu na miwani ya jua hata kama ni usiku .....unakuta amemshikia mtu kisu halafu anamwambia usiniletee mchezo mimi nitakupiga risasi, sasa sijui kisu kinatoa risasi

6- Kahaba anaejiuza eti lazima avute sigara kwa fujo na ka glasi ka wine kumbe ameweka Mirinda nyeusi

7- Mtu anazikwa kavishwa suti safi kabisa, lakini akianza kuwatokea watu kama mzimu anakuwa kavaa kanzu nyeupe, sasa sijui ile suti kaiuza

8- Kitu pekee ambacho wabongo muvi huwa wanavunja ni glasi tu, huwezi kukuta kapasua Tv

9- Akitaka kuwaza au kusimulia jambo lazima aangalie juu , na jambo hata kama ni la miaka 16 iliyopita eti inaonekana picha ya Rais dokta Sir~100
 
1-Kwenye maneno ya kiingereza yanayopita pale chini huwa wanajichanganya vibaya sana, mi pamoja na inglishi yangu ya ugoko lakini siwezi kuandika upumbavu ule

2- Binti aliyezaliwa familia ya kitajiri anashinda kavaa vikaptura vifupi mbele ya baba yake halafu maneno mawili la tatu kiingereza, kama kwenye hyo picha Ray ndio steringi na anatokea familia ya kimaskini basi lazima binti atampenda wataoana

3- Kwa mganga lazima kuwe ni porini wakati waganga wa siku hizi wanaishi mjini kwenye nyumba za bati la msauzi, halafu mganga anaongea kwa kufoka sana

4- Jini anatokea kavaa jezi ya Arsenal halafu wakati wa kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia halafu kushoto tena kisha anavuka huku anakimbia kuogopa kugongwa na bodaboda

5- Jambazi eti lazima avae koti refu na miwani ya jua hata kama ni usiku .....unakuta amemshikia mtu kisu halafu anamwambia usiniletee mchezo mimi nitakupiga risasi, sasa sijui kisu kinatoa risasi

6- Kahaba anaejiuza eti lazima avute sigara kwa fujo na ka glasi ka wine kumbe ameweka Mirinda nyeusi

7- Mtu anazikwa kavishwa suti safi kabisa, lakini akianza kuwatokea watu kama mzimu anakuwa kavaa kanzu nyeupe, sasa sijui ile suti kaiuza

8- Kitu pekee ambacho wabongo muvi huwa wanavunja ni glasi tu, huwezi kukuta kapasua Tv

9- Akitaka kuwaza au kusimulia jambo lazima aangalie juu , na jambo hata kama ni la miaka 16 iliyopita eti inaonekana picha ya Rais dokta Sir~100
Umetisha sana..ila picha ingekuwepo ungekuwa umetisha zaid
 
1-Kwenye maneno ya kiingereza yanayopita pale chini huwa wanajichanganya vibaya sana, mi pamoja na inglishi yangu ya ugoko lakini siwezi kuandika upumbavu ule

2- Binti aliyezaliwa familia ya kitajiri anashinda kavaa vikaptura vifupi mbele ya baba yake halafu maneno mawili la tatu kiingereza, kama kwenye hyo picha Ray ndio steringi na anatokea familia ya kimaskini basi lazima binti atampenda wataoana

3- Kwa mganga lazima kuwe ni porini wakati waganga wa siku hizi wanaishi mjini kwenye nyumba za bati la msauzi, halafu mganga anaongea kwa kufoka sana

4- Jini anatokea kavaa jezi ya Arsenal halafu wakati wa kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia halafu kushoto tena kisha anavuka huku anakimbia kuogopa kugongwa na bodaboda

5- Jambazi eti lazima avae koti refu na miwani ya jua hata kama ni usiku .....unakuta amemshikia mtu kisu halafu anamwambia usiniletee mchezo mimi nitakupiga risasi, sasa sijui kisu kinatoa risasi

6- Kahaba anaejiuza eti lazima avute sigara kwa fujo na ka glasi ka wine kumbe ameweka Mirinda nyeusi

7- Mtu anazikwa kavishwa suti safi kabisa, lakini akianza kuwatokea watu kama mzimu anakuwa kavaa kanzu nyeupe, sasa sijui ile suti kaiuza

8- Kitu pekee ambacho wabongo muvi huwa wanavunja ni glasi tu, huwezi kukuta kapasua Tv

9- Akitaka kuwaza au kusimulia jambo lazima aangalie juu , na jambo hata kama ni la miaka 16 iliyopita eti inaonekana picha ya Rais dokta Sir~100
We jamaa una wivu na kazi zetu.
 
Mtoto wa maskini atapendwa na mtoto wa tajiri kisha wataoana
 

Attachments

  • 8-1661109073871.jpg
    8-1661109073871.jpg
    182.9 KB · Views: 24

Similar Discussions

Back
Top Bottom