Nyie endeleeni na elimu ya majini. Unadhani kuna mtu ncha Mungu anayetaka kuwa shoga?
Soon watataka uwakilishi kwenye katiba iwatambueHomosexuality ni suala la muda tujiandae tu kisaikolojia
Acheni kukoseana adabu. Kwenye ajibizano yenu wazazi wanaingiaje?!Tuanze na baba yako pale nyumbani. Unaonaje?
Duuh katiba?hii hali bila KATIBA mpya itazidi kuwa mbaya
Nawatafuna kawatafune.**** mashoga halisi,na kuna vijana wanaoukaribia kuwa mashoga kwa matendo,mavazi na muonekano.vijana wa Dar wanaosha miguu iwe soft,vijana wa Dar wanavaa vitambaa vya kike kichwani,vijana wa Dar wanapaka lipshine ya maji mdomoni n,k.
Sio kweljNaskia na huko Zanzibar imekua baada ya nyumba Kuna shoga1,baada ya nyumba shoga nikweli????
Aaaah achana nae bwana, atajifunza zaidi kama utampotezea kuliko ukijibizana nae.Hata mimi pia ni baba na ni mzazi. Kama mtu anakutukana tu from nowhere, dawa yake ndiyo hii. Na hapa nilipo, nipo standby namsubiria.
Akinijibu tu, mimi na deal na baba yake! Wala sita deal na yeye. Mpaka pale akili yake itakapo rudi kuwa normal.
Wanasuka. Wanavaa skin jeans, Wanavaa fulana zile zenye kola kubwa, wanarembua, wanalalamika, wanapenda vya kupewa zaidi, wanashiriki umbea etc.**** mashoga halisi,na kuna vijana wanaoukaribia kuwa mashoga kwa matendo,mavazi na muonekano.vijana wa Dar wanaosha miguu iwe soft,vijana wa Dar wanavaa vitambaa vya kike kichwani,vijana wa Dar wanapaka lipshine ya maji mdomoni n,k.
fb na insta mishoga imejazana kibao yani inajiamini kupita maelezo imejipodoa, imesukia mawigi na wanajitangaza live bila chenga na sura hawafichi na wanawake ndo wanaongoza kwa kuwasifia na kuwavimbisha vichwa.Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao
Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao
Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu
Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8
Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?<img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji24.png" /><img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji24.png" /><img src="//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji24.png" />
Hujaeleza kwa kina umebwata tu.Chanzo kikuu cha ushoga ni ukatili nitaeleza jambo hapa;
Nikisema ukatili sio tu ule ukatili wa kijinsia wa kulawiti watoto na vijana hapana kwani ukatili huu unachangia kwa asilimiaa ndogo sana pengine isifike 10%
Ukatili wa baba kumpiga mkewe au kutengana naye kwa visa vya ukatili, huu ndio kiini hasa cha ushoga maeneo mengi ya Tz, ukifuatilia mashoga wengi utagundua hili swala. Sasa kwanini hili linachangia na linachangia vipi?, Hii ni mada pana kidogo wakuu.