Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 10,021
- 20,255
kwa bahati mbaya sasa, heshima haitakuja kwasababu iran hana uwezo kuipiga israel, hata wao wenyewe wanajua hilo. na Israel anafanya hivyo makusudi ili kupata sababu ya kuingia vitani, na ninaamini anatumwa na mabeberu pia walioathirika pakubwa na wahuthi wanaosapitiwa na iran. cha kuomba Mungu vita isianze tu, ili uchumi usishuke.Bora tufe njaa lkn uislam duniani uheshimike na makafiri