Huyo ni wa kwake haswaaa..Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Aende Tarime huyu; alishatutenda watu wa Babati. Tumejipanga na Mwal Ester Mahawe.Chambiri anafaa
Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
aende tarimeChambiri anafaa
Ester naye atawatenda tuuAende Tarime huyu; alishatutenda watu wa Babati. Tumejipanga na Mwal Ester Mahawe.
Bashiru anatakiwa kujua watu wa babati wantaka nini?. Asije akafanya kumuweka Paulina Gekul maana watu wameshamchokaBashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Tunataka sura mpya BabatiEster naye atawatenda tuu
Wilhelmon MayoMwl Mayo 😀😀
Unamfahamu mwl.Ester wewe?Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
wampe Paskali MayalaHawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
Hapo hakuna atakaye pata ubunge bali wana sindikiza mbunge wa cdmHawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199