Hahahahaha..dah kweli jamaa wajinga ..Bora litokeee hilo na wakifanya hivo hao ndio wafia Team...maana wanaumia na hawaoni Future ya Team bora wafanye figisu wafungwe watoe Presha wajitoe wao.
Yalikua yameandaaa vibwengo vya Bleach😂😂Tulivyopaka bleach walituona sisi wajinga
Wenzao tunajua tunachokifanya!!
Dah! niliamini niliposoma mafanikio Yao ya msimu uliopita mpaka Channel ya wasap na kibegi ni mafanikio.Ile timu ina mijinga mingi ..
Na mashabiki hua yanafurahiii kwelikweliDah! niliamini niliposoma mafanikio Yao ya msimu uliopita mpaka Channel ya wasap na kibegi ni mafanikio.
Hamna CEO paleDah! niliamini niliposoma mafanikio Yao ya msimu uliopita mpaka Channel ya wasap na kibegi ni mafanikio.
Ndio maana majina kama Makolo , Madunduka yanawapendeza coz yanawakilisha jinsi walivyo ..Na mashabiki hua yanafurahiii kwelikweli
Kwa hio Taifa Simba anakufa ngapi?Simba atapigwa taifa sikimbinu bali kimichezo michafu kuna watu hawana furaha na uongozi so wanataka waondoke Kwa kuihujumu timu
Hahahahahaha..kama Rage aliwaita mbumbumbu na bado wakampa kura unategemea nn kwa hao watu ?Dah! niliamini niliposoma mafanikio Yao ya msimu uliopita mpaka Channel ya wasap na kibegi ni mafanikio.
Halaf unatokea na wewe kati unakua wa 3Watu wawili wanaanzisha nyuzi na kujijibu.....Utopolo bana
Upo sahihi! Wenye akili ni WAWILI tu! MZEE MANARA na JK!Ile timu ina mijinga mingi ..
Hahahahahaha..umeona sasa walau hao wana wawili wenye akili ila kule ni mijinga jinga na mbumbumbu..inadanganywa kila siku ...ilivyo mijinga inaletewa mtu ktk kampeni inashangilia..shameUpo sahihi! Wenye akili ni WAWILI tu! MZEE MANARA na JK!
Tulia ya kaziwe yatoke droo kama kawaida ya menyewe halaf wydad ashinde yatapoteanaMbumbumbu wakizubaa hawaendi robo
Nashangaa wameshajiamisha wanadhani Jwaneng ni mnyonge
Jwaneng ni fundi wa kushinda away
Kampiga Simba Away
Kampiga wydad away
Makolo wajiangalie sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia wakusikie😂😂Tulishasema nyie ni MBUMBUMBU FC
Wanajiandaa kumchukua MetachaViongozi wa Simba hua hawawheshimu Mashabiki zao..Ndio maana kila wakiona Yanga wana trend wao wanawaza kuzima trend yao kwa kitu cha Mda mfupi.
Si mnakumbuka Msimu uliopita aimba ilikosa FA ikatolewa CAF kama siku zote Robo na Ligi wakakosa pia walichokifanya wakaanza kununua games na SAIDOO kufunga goli 5 mara 3 hadi akamfikia Mayele ikawa ndio Topic na Mashabiki wakaivalia Njuga tena wakaaminishwa Saidoo anauwezo huo na hawatakiwi kuendelea kuwaza wachezaji wapya wenye Morali kubwaaa
Nani amesahau issue ya KIBEGI Pia?
Hiii Team hua inawadharau sana Mashabiki zake na wao ambavyo hua hawajielewi hua wanajaa kwenye Mfumo.
Kwa saiv yanga inavyowasha Moto tegemeeni tukio la Either mchezaji mmoja wa Simba kua Top score kwenye Ligi tena ataanza kufunga Mfululu hadi mtajiuliza au watabuni kitu tu cha kuwapa Faraja Kwa Mda Mashabiki ili wasiendelee kuwapa Presha viongozi.
#THE CLUB ABOVE ALL