THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,759
- 3,321
Viongozi wa Simba hua hawawheshimu Mashabiki zao..Ndio maana kila wakiona Yanga wana trend wao wanawaza kuzima trend yao kwa kitu cha Mda mfupi.
Si mnakumbuka Msimu uliopita aimba ilikosa FA ikatolewa CAF kama siku zote Robo na Ligi wakakosa pia walichokifanya wakaanza kununua games na SAIDOO kufunga goli 5 mara 3 hadi akamfikia Mayele ikawa ndio Topic na Mashabiki wakaivalia Njuga tena wakaaminishwa Saidoo anauwezo huo na hawatakiwi kuendelea kuwaza wachezaji wapya wenye Morali kubwaaa
Nani amesahau issue ya KIBEGI Pia?
Hiii Team hua inawadharau sana Mashabiki zake na wao ambavyo hua hawajielewi hua wanajaa kwenye Mfumo.
Kwa saiv yanga inavyowasha Moto tegemeeni tukio la Either mchezaji mmoja wa Simba kua Top score kwenye Ligi tena ataanza kufunga Mfululu hadi mtajiuliza au watabuni kitu tu cha kuwapa Faraja Kwa Mda Mashabiki ili wasiendelee kuwapa Presha viongozi.
#THE CLUB ABOVE ALL
Si mnakumbuka Msimu uliopita aimba ilikosa FA ikatolewa CAF kama siku zote Robo na Ligi wakakosa pia walichokifanya wakaanza kununua games na SAIDOO kufunga goli 5 mara 3 hadi akamfikia Mayele ikawa ndio Topic na Mashabiki wakaivalia Njuga tena wakaaminishwa Saidoo anauwezo huo na hawatakiwi kuendelea kuwaza wachezaji wapya wenye Morali kubwaaa
Nani amesahau issue ya KIBEGI Pia?
Hiii Team hua inawadharau sana Mashabiki zake na wao ambavyo hua hawajielewi hua wanajaa kwenye Mfumo.
Kwa saiv yanga inavyowasha Moto tegemeeni tukio la Either mchezaji mmoja wa Simba kua Top score kwenye Ligi tena ataanza kufunga Mfululu hadi mtajiuliza au watabuni kitu tu cha kuwapa Faraja Kwa Mda Mashabiki ili wasiendelee kuwapa Presha viongozi.
#THE CLUB ABOVE ALL