Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,834
- 11,329
Vijana mnachosha sasa na mmekuwa kero, mnakomaa na maduka ya watu na akija mteja mnamparamia kana kwamba wateja wengine hawajui kilichomleta kariakoo au hafahamu bei ya kile alichokuja kukinunua.
Ni muda sasa wa kwenda kulima kumbuka machimbo ya bidhaa yameongezeka Kuna chimbo la katoro Geita, muda si mrefu wafanyabiashara tutahamia huko.
Ni muda sasa wa kwenda kulima kumbuka machimbo ya bidhaa yameongezeka Kuna chimbo la katoro Geita, muda si mrefu wafanyabiashara tutahamia huko.