Vijana tunaomba umri wa kustaafu uwe miaka 45 hiari na 55 lazima

Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
kutakuwa na wizi sana serikalini! na pia mifuko ya pension itakufa maana utamlipa mtu miaka mingi mpaka uzee wake! waliocalculate ni waliosoma cuba
 
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Hizi ni kama akili za panya. Badala ya kutaka matatizo ya upatikana ajira yapatiwe ufumbuzi wewe unataka kuhamisha kutoka kwa vijana kwenda kwa umri wa kati. Tanzania elimu yetu inatufanya tusitafakari kidogo. Tatizo la ajira linatokana na uongozi mbovu wa CCM na siyo muda wa kustaafu.
 
kutakuwa na wizi sana serikalini! na pia mifuko ya pension itakufa maana utamlipa mtu miaka mingi mpaka uzee wake! waliocalculate ni waliosoma cuba
Hiyo ndio fikra potofu waliyo nayo baadhi ya watendaji wetu, hilo linaweza kufanyiwa utaratibu mwengine tofauti na huo wa zamani.
 
Mifuko ya pension haina pesa, fatilia ulaya wanataka iwe 70. France maandamano yalikua mengi kupinga 65.

Tatizo ni mifuko ya pension haina hela kulipa ukistaafu mapema.
 
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Vijana hawa waimba singeli
 
Hizi ni kama akili za panya. Badala ya kutaka matatizo ya upatikana ajira yapatiwe ufumbuzi wewe unataka kuhamisha kutoka kwa vijana kwenda kwa umri wa kati. Tanzania elimu yetu inatufanya tusitafakari kidogo. Tatizo la ajira linatokana na uongozi mbovu wa CCM na siyo muda wa kustaafu.
Sasa wewe umeenda nje ya Mada.
Hapa sizungumzii tatizo la ajira bali nazungumzia jambo mojawapo linalo wazuia vijana wengi kuajiriwa serikali moja wapo ni umri wa kustaafu, hivyo nimependekeza upunguzwe uwe kuanzia miaka 45, itasaidia vijana kupata nafasi.
 
Sasa wewe umeenda nje ya Mada.
Hapa sizungumzii tatizo la ajira bali nazungumzia jambo mojawapo linalo wazuia vijana wengi kuajiriwa serikali moja wapo ni umri wa kustaafu, hivyo nimependekeza upunguzwe uwe kuanzia miaka 45, itasaidia vijana kupata nafasi.
Ama kweli kua uyaone. Huzungumzii tatizo la ajira bali unapendekeza umri wa kustaafu uwe 45 ili vijana kupata nafasi!!!! Nilikuwa najua kuwa tuna tatizo la elimu ya kukariri lakini sikujua kuwa tatizo ni kubwa kiasi hiki!!
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Viajana hawa hawa wa kataa ndoa?
Wanataka kuoa wakiwa 55, sasa wataowaje wakishastaaf?
 
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Lengo ni kutumikia au kupata kipato. Funguka mleta mada.
 
Mtu mwenye miaka 45 kama sio bonge na hali hovyo mbona bado ni kijana mbichi sana?

Afu ukute alipata ajira serikalini akiwa na 35. Yan 10yrs ya kula mshahara bado haijamtosha unataka astaafu?
 
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;

1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.

Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.

Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.

Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Hao vijana wenyewe weledi kazini sh wazee uzoefu wanatekeleza majukumu yao safi kwa wakati wakiwa kazini wanajua wajibu wao na sio kuchezea simu muda wa kazi na kuchimbua page za udaku
 
Back
Top Bottom