Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 784
- 1,604
Safi, acheni uzushi vijana.Niaje mzee wa madafu
Safi, acheni uzushi vijana.Niaje mzee wa madafu
Nimebakiza miaka 2 kustaafu lakini ntaendelea kufanya kazi baada ya kupewa mafao yanguWakati wanataka 65 iwe hiyari 70 lazima
kutakuwa na wizi sana serikalini! na pia mifuko ya pension itakufa maana utamlipa mtu miaka mingi mpaka uzee wake! waliocalculate ni waliosoma cubaKuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Hahaha we na mama hivi mnatuonaje?Safi, acheni uzushi vijana.
Nyie ndio mnaua wazazi wenu mrithi maliWazee wameziba nafasi, hawataki kustaafu, wengi wao wamefoji umri wa kustaafu, ukitizama vyeti vyao vya kuzaliwa na sura zao vitu viwili tofauti kabisa.
Hizi ni kama akili za panya. Badala ya kutaka matatizo ya upatikana ajira yapatiwe ufumbuzi wewe unataka kuhamisha kutoka kwa vijana kwenda kwa umri wa kati. Tanzania elimu yetu inatufanya tusitafakari kidogo. Tatizo la ajira linatokana na uongozi mbovu wa CCM na siyo muda wa kustaafu.Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Hiyo ndio fikra potofu waliyo nayo baadhi ya watendaji wetu, hilo linaweza kufanyiwa utaratibu mwengine tofauti na huo wa zamani.kutakuwa na wizi sana serikalini! na pia mifuko ya pension itakufa maana utamlipa mtu miaka mingi mpaka uzee wake! waliocalculate ni waliosoma cuba
Huyu sio mzima mkuuDah, we ni wa wapi?
Vijana hawa waimba singeliKuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Sasa wewe umeenda nje ya Mada.Hizi ni kama akili za panya. Badala ya kutaka matatizo ya upatikana ajira yapatiwe ufumbuzi wewe unataka kuhamisha kutoka kwa vijana kwenda kwa umri wa kati. Tanzania elimu yetu inatufanya tusitafakari kidogo. Tatizo la ajira linatokana na uongozi mbovu wa CCM na siyo muda wa kustaafu.
Nafahamu mzee huwezi kukubaliana na wazo la vijana. hutaki kustaafu.Dah, we ni wa wapi?
kama hutaki kuwapisha vijana wako umeng'ang'ania tu, utawalazimisha wakuondoe kwa nguvu.Nyie ndio mnaua wazazi wenu mrithi mali
Ama kweli kua uyaone. Huzungumzii tatizo la ajira bali unapendekeza umri wa kustaafu uwe 45 ili vijana kupata nafasi!!!! Nilikuwa najua kuwa tuna tatizo la elimu ya kukariri lakini sikujua kuwa tatizo ni kubwa kiasi hiki!!Sasa wewe umeenda nje ya Mada.
Hapa sizungumzii tatizo la ajira bali nazungumzia jambo mojawapo linalo wazuia vijana wengi kuajiriwa serikali moja wapo ni umri wa kustaafu, hivyo nimependekeza upunguzwe uwe kuanzia miaka 45, itasaidia vijana kupata nafasi.
Viajana hawa hawa wa kataa ndoa?Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Lengo ni kutumikia au kupata kipato. Funguka mleta mada.Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.
Wamepeleka wapi hela na kila mwezi wanapewa 🤣Tatizo ni mifuko ya pension haina hela kulipa ukistaafu mapema.
Hao vijana wenyewe weledi kazini sh wazee uzoefu wanatekeleza majukumu yao safi kwa wakati wakiwa kazini wanajua wajibu wao na sio kuchezea simu muda wa kazi na kuchimbua page za udakuKuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo ni;
1. Umri wa kustaafu upunguzwe uwe miaka 45 hiari na 55 iwe lazima, badala ilivyo sasa kuwa 50 hiari na 55 hadi 65 lazima.
Suala hili la umri wa kustaafu limekuwa kikwazo kikubwa kwa upatikanaji wa nafasi kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu vyuo vikuu.
Utafiti unaonyesha kwenye idara mbalimbali za serikali kuna wazee wengi ambao tayari wamechoka, hawana tija, hivyo ni vyema umri wa kustaafu ukapunguzwa ili kupisha vijana nao walitumikie taifa lao.
Tunaomba pendwkezo hili lizingatiwe.