Habari zenu wakuu
Naomba kupewa ABC kuhusu hii kitu nimekuwa nikifatilia since wayback lakini sijaanza kushiriki mana sijui natakiwa niwe na kitu gani haswa chamsingi
Nawasilisha
ni rahisi tu muhimu ni picha yenye vipimo vyao(mm nilitafuta rafiki akanipiga nikaisubmit)ila nasikia wengine wanasema mjini wanapiga kwa 10,000 kisha unajaza fomu yao ambayo haichukui hata dakika 30.Mimi nimecheza mwaka jana nasubiri matokeo wiki ijayo,ila zoezi bado halijafunguliwa mpaka mwezi wa 9 au 10(sina uhakika sana).Website ni www.dvprogram.state.gov
kwenye kujaza wanauliza elimu yako ila kama ukibahatika kupata ndo utapeleka hvyo vielelezo wakati wa kuomba VisaSamahan, naskia Kama huna cheti cha highschool inabidi uwe na work experience asa sijui imekaaje apo we umetumia docs gan
kwenye kujaza wanauliza elimu yako ila kama ukibahatika kupata ndo utapeleka hvyo vielelezo wakati wa kuomba Visa
ni rahisi tu muhimu ni picha yenye vipimo vyao(mm nilitafuta rafiki akanipiga nikaisubmit)ila nasikia wengine wanasema mjini wanapiga kwa 10,000 kisha unajaza fomu yao ambayo haichukui hata dakika 30.Mimi nimecheza mwaka jana nasubiri matokeo wiki ijayo,ila zoezi bado halijafunguliwa mpaka mwezi wa 9 au 10(sina uhakika sana).Website ni www.dvprogram.state.gov
yeah high school ni form sixNa highschool kibongo ndo form 4 au six?
ni watu gani hawa mkuu?Pro-Russia, Pro-Iran na Anti-US wanaruhusiwa kushiriki?