Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mimi nawapa ushauri wabure Hawa ISP wetu sasa hivi watu wanataka urahisi wa matumizi ya hivi vifaa namaanisha routers.

Nawapa wazo mmoja kama itawezekana, kama internet inatumia Laini ya simu Ni Bora kuwepo na line ambayo MTU Ni unlimited ambayo utainunua Kwa Kwa 5000 au 10000 ila inakuwa na vifurushi vya unlimited Kwa mfano waanze na 40000 Kwa speed ya 10mbps, 70000 15 Mbps, 100000 20mbps, 130000 30mbps etc.

Laini hiyo iwe free Kwa MTU akijisikia kuweka bando aweke. iSp watapata faida kwenye manunuzi ya Laini na endapo MTU atanunua vifurushi kuliko huyu mfumo WA sasa hununui routers hupati Laini na still doesn't work kwenye simu ukiiweka hiyo Laini. Mimi naona makosa waliyofanya Ni kulazimisha ununuzi wa router na free router Kwa wale bando kubwa, ingebaki Kwa mnunuzi mwenyewe angependa router au bila router Laini kutokana na nature ya matumizi.

Wabaki na kuuza VIFURUSHI VYAO TU kuhusu router ibaki maamuzi ya mteja.

Mfano Mimi Nina router unaweka Laini yoyote ikontu but still siwezi kuwa na ya ziada for sake of lain zao na mara nyingi natumia Halotel wako vizuri Sana.

Jaribuni hii idea mtaona mwitikio wa wateja

Angalizo
Muwe WA kweli kwenye huduma mtakazo toa sio longolongo la speed au network coverage lazima iwe 4g 5g ili upate service

Ni Hayo
Mwenye wazo au aongezee akosoe it's for better
IMG_4210.jpeg

Chukua Tigo. Laini zao zinakubali kwenye simu.

Ila kianzio ndio ukuta wa chuma.
 
Tigo wamelegeza kamba huko, kwahivyo vifurushi unapewa Router bure, wewe kazi yako ni kulipa tu!!View attachment 2961936
Habari wakuu,naombeni ushauri kati ya kifaa hiki chenye 20mbps kwa watumiaji 32,au cha voda ama eatel vyenye 30mbps kipi kitakuwa na ubora kwa kasi ya kustream au kupakua?
Na vipi kama watakuwa online watu wote 32,je speed itakuwaje?
 
Za 5G na Unlimited? Kama unaweza afford chukua. 5g nzuri.
Mkuu naomba msaada wa kueleweshwa jambo hapa.
Nina staff wangu 32,ninahitaji kifaa cha mtandao iwe voda ,tigo ama eatel.
Nimeona tigo wamerahisisha kidogo ila speed yao ni 20mbps,swali langu ni kwamba vipi kama watu 25au wote 32 tutakuwa connected speed itakuwaje?,tutaweza kustream videos kwenye platform mbali mbali bila kugoma goma?
 
Za 5G na Unlimited? Kama unaweza afford chukua. 5g nzuri.
Mkuu naomba msaada wa kueleweshwa jambo hapa.
Nina staff wangu 32,ninahitaji kifaa cha mtandao iwe voda ,tigo ama eatel.
Nimeona tigo wamerahisisha kidogo ila speed yao ni 20mbps,swali langu ni kwamba vipi kama watu 25au wote 32 tutakuwa connected speed itakuwaje?,tutaweza kustream videos kwenye platform mbali mbali bila kugoma goma?
 
Mkuu naomba msaada wa kueleweshwa jambo hapa.
Nina staff wangu 32,ninahitaji kifaa cha mtandao iwe voda ,tigo ama eatel.
Nimeona tigo wamerahisisha kidogo ila speed yao ni 20mbps,swali langu ni kwamba vipi kama watu 25au wote 32 tutakuwa connected speed itakuwaje?,tutaweza kustream videos kwenye platform mbali mbali bila kugoma goma?
Kama wote mna stream kwa wakati mmoja uongo mkuu, ila kama mmoja anasoma Email, mwengine yupo WhatsApp, mwengine ana stream etc inaweza kutosha.

Pia kutoka 100K kwenda 150K speed inaongezeka hadi 50mbps. Kwa 50mbps mnaweza stream kwa mkupuo wote.

Unaweza anza na 20mbps kwanza uone kama itafaa unatumia otherwise una upgrade.
 
Mm pia nIitafuta hii sio kwenye site yao or social media wala agents wa halotel anajua km unlimited service ipo kwao wao wanaongelea tu GB za kununua and una top up kutokana na unavyotumia
Kingine natafuta line ya data pekee sijajua naipataje
 
Connection kwenye hizi mambo will end in tears tuu...

Bora ukachukue router kuliko hizo konakona, ila wanauza parefuu sana, 650K...

Hata airtel wana speed nzuri sana...... Msichoelewa ni kwamba kutumia internet ya router ni tofauti sana na ukiwa unatumia internet ya line iliyoko kwenye simu...

Mkuu Kingsmann , kuhusu Airtel router ya 5G (UNLIMITED data package)... SIM card (line) yake inakubali kutumika kwenye smartphone pia?

Lengo: Router ikae home tu. Napoenda mishe mishe nachomoa SIM card naweka kwenye smartphone ili niendelee kupata internet kwenye simu. Naporudi home naweka line kwenye router.

Otherwise, ile AIRTEL pocket router 4G ingekuwa na UNLIMITED DATA PACKAGE ingenifaa sana coz inaruhusu kutembea nayo hata mfukoni, popote napoenda.

Ushauri wako plz.

-Kaveli-
 
Anayetumia HALOTEL M2M atupe uzoefu hapa... Je ni kweli kwamba ina UNLIMITED data package option (official)?

-Kaveli-
 
Concept ya kukwepa kutumia Router yao ni kukwepa ndoa ya 650,000.

Maana wakibadilika wakianza kutoa huduma mbovu utajikuta unatamani kuhamia kwingine ambapo kuna huduma nzuri halafu ni affordable. Unakuja kujikuta ndani una kopo la 600,000 na hakuna mnunuaji.

Mkuu WaterNet , hiyo kitu ulifanikiwa? TIGO... kupata SIM card with unlimited data package pasipo kununua router yao?

If YES, je ni rasmi ama ni 'konnection'?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom