Video: Paul Makonda na harakati za hila za kuulinda mfumo wa serikali tawala ya CCM ulioshindwa. Atafanikiwa au anasukuma anguko lake?

View attachment 2891582
This video is Courtesy of SK Media Online TV.

=====================================================
KWA UFUPI;

1. Paul Makonda ni Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi ndani ya CCM. Yupo barabarani anatembea nchi mzima hata sasa kwa kinachoitwa "ziara ya kuimarisha uhai wa chama..."

2. Ukifuatilia hotuba zake ktk mikutano yake, utaona kwa uwazi kabisa nyuma ya pazia sura ya Mtendaji mkuu wa serikali (Rais Samia Suluhu Hassan) na sio sura ya kiongozi wa idara ndogo tu ndani ya Chama Cha Mapinduzi - CCM yaani Idara ya Itikadi na Uenezi.

Mtu anaweza jiuliza, huyu mtu anafanya hivi kwa makusudi, kwa bahati ya kutojua au ana baraka za boss wake M/kiti CCM taifa na Rais wa JMT?

Ni Kwa sababu maagizo yake ni maigizo tu. Hakuna Mtendaji makini wa serikali atayatilia maanani na kuyatekeleza. Ni kwa sababu hayatoki kwa mtu sahihi kwa mtiririko wa utendaji wa kiserikali..

Mtu anajiuliza Yuko wapi Rais mwenyewe? Yuko wapi VP, Dr Phillip Mpango? Yuko wapi PM, Mwl Kassimu Majaliwa? Wako wapi mawaziri wa kisekta ili kushughulika na matatizo na changamoto za nchi? Je, ya Paul Makonda ni kiashiria cha nchi na taifa kukosa uongozi makini na thabiti? Bila shaka hili la mwisho laweza kuwa jibu..!!

3. Kwa hili kila mtu anajiuiza kuikoni huko CCM kwa maigizo haya? Mifumo sahihi haitendi kazi tena au ndio kuchoka kwenyewe huku? Na kwanini Rais Samia Suluhu Hassan, VP Dr Phillip Mpango na PM Mwl Kassimu Majaliwa wanamtanguliza huyu mtu kupiga kelele ambazo kiuhalisia hazitakuwa na matokeo yoyote kwa wananchi?

4. Fuatilia uchambuzi wa jambo hili toka Kwa mwandishi wa habari mkongwe na nguli Ansbert Ngurumo ktk video ili ujue uongo, hadaa, hila na maigizo ya serikali ya CCM kupitia watu wake wa ajabu ajabu..
Kwa hiyo ww ni mchambuz waking uchwara mlitaka nn? Paul Makonda anafanya Kaz ya chama vizuri Sana. Kwann Mnyika nae asiende huko kwa wananchi? Huyo mchambuz wako maandaz, nn kinamuma? Makonda anakusanya watu wengine sana kwenye mikutano yake.Na anatatua shida za wananchi. Mchambuz kwanza yupo nje ya nchi, anapakatwa na wazungu hana akili ya kutuambia cha, maana.
 
Wewe ni chawa wa mama au nimekosea?

Kama nimekosea kuwekwa kundi hilo, niwie radhi. Lakini kama u chawa, then jina lako linastahili kutjwa bila vina Wala heshima yoyote maana chawa ni wadudu hatari waenezao magonjwa..

Unasema nitatue changamoto binafsi?

Ok. Changamoto zetu wananchi kutaka upatikanaji thabiti na endelevu wa huduma ya umeme, maji, maisha bora kwa kila mwanachi na huduma zingine muhimu za kijamii toka serikalini..

Wajibu wangu ni kulipa kodi. Huo naufanya kikamilifu. Huwa mnazipelekwa wapi nyie chawa??
Unawajibu vizuri lkn wao wanaleta ngonjera
 
View attachment 2891582
This video is Courtesy of SK Media Online TV.

=====================================================
KWA UFUPI;

1. Paul Makonda ni Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi ndani ya CCM. Yupo barabarani anatembea nchi mzima hata sasa kwa kinachoitwa "ziara ya kuimarisha uhai wa chama..."

2. Ukifuatilia hotuba zake ktk mikutano yake, utaona kwa uwazi kabisa nyuma ya pazia sura ya Mtendaji mkuu wa serikali (Rais Samia Suluhu Hassan) na sio sura ya kiongozi wa idara ndogo tu ndani ya Chama Cha Mapinduzi - CCM yaani Idara ya Itikadi na Uenezi.

Mtu anaweza jiuliza, huyu mtu anafanya hivi kwa makusudi, kwa bahati ya kutojua au ana baraka za boss wake M/kiti CCM taifa na Rais wa JMT?

Ni Kwa sababu maagizo yake ni maigizo tu. Hakuna Mtendaji makini wa serikali atayatilia maanani na kuyatekeleza. Ni kwa sababu hayatoki kwa mtu sahihi kwa mtiririko wa utendaji wa kiserikali..

Mtu anajiuliza Yuko wapi Rais mwenyewe? Yuko wapi VP, Dr Phillip Mpango? Yuko wapi PM, Mwl Kassimu Majaliwa? Wako wapi mawaziri wa kisekta ili kushughulika na matatizo na changamoto za nchi? Je, ya Paul Makonda ni kiashiria cha nchi na taifa kukosa uongozi makini na thabiti? Bila shaka hili la mwisho laweza kuwa jibu..!!

3. Kwa hili kila mtu anajiuiza kuikoni huko CCM kwa maigizo haya? Mifumo sahihi haitendi kazi tena au ndio kuchoka kwenyewe huku? Na kwanini Rais Samia Suluhu Hassan, VP Dr Phillip Mpango na PM Mwl Kassimu Majaliwa wanamtanguliza huyu mtu kupiga kelele ambazo kiuhalisia hazitakuwa na matokeo yoyote kwa wananchi?

4. Fuatilia uchambuzi wa jambo hili toka Kwa mwandishi wa habari mkongwe na nguli Ansbert Ngurumo ktk video ili ujue uongo, hadaa, hila na maigizo ya serikali ya CCM kupitia watu wake wa ajabu ajabu..
Kuna jambo la kujifunza ktk hizi ziara za Makonda. Mifumo ya serikali haifanyi kazi tena? Kuna watendaji kuanzia ngazi za vijii, maDED, DC, RC nk. Kumiminika kwa malalamiko ya wananchi kwa Makonda ambae ki msingi hana suruhu ya kero zao, kunaonyesha wazi ombwe la uongozi wa serikali hii. Pia kwa malalamiko ya wananchi mbele ya Makonda yanayohusu mahakama zetu, jaji mkuu anapaswa kujitathimini.

Ni bahati mbaya CCM inatumia ulewa mdogo wa watu na ushabiki kama mtaji wa kujiimarisha.
 
Mkuu Pascal, kati ya watu makini niliokuwa nikipenda kusoma makala zao, mmojawapo ulikuwa wewe. Sijuhi ni nini kilikufanya ukengeuke na kujikuta kwenye kundi la watu kama Lucas Mwashambwa wasio kuwa na uwezo wa kujadili hoja ktk uhalisia wake?
Kabisa kiongoz jamaaa alikuwa yuko poa ssna ila cku hana jipya labda anataka uteuzi ujue bongo mtu akikosa ugali anaanza kujipendekeza hata kwa adui yake
 
Kwa hiyo ww ni mchambuz waking uchwara mlitaka nn? Paul Makonda anafanya Kaz ya chama vizuri Sana. Kwann Mnyika nae asiende huko kwa wananchi? Huyo mchambuz wako maandaz, nn kinamuma? Makonda anakusanya watu wengine sana kwenye mikutano yake.Na anatatua shida za wananchi. Mchambuz kwanza yupo nje ya nchi, anapakatwa na wazungu hana akili ya kutuambia cha, maana.
Kwa akili yako unadhani kuna kitu cha maana ulichoandika? Watu wanatathimini ziara ya Makonda, kero za Wananchi na utendaji wa serikali, wewe unarukia akina Mnyika na Chadema. Kwa nini chawa mnajifuta data?
 
Kwa hiyo ww ni mchambuz waking uchwara mlitaka nn? Paul Makonda anafanya Kaz ya chama vizuri Sana. Kwann Mnyika nae asiende huko kwa wananchi? Huyo mchambuz wako maandaz, nn kinamuma? Makonda anakusanya watu wengine sana kwenye mikutano yake.Na anatatua shida za wananchi. Mchambuz kwanza yupo nje ya nchi, anapakatwa na wazungu hana akili ya kutuambia cha, maana.

Shida za wananchi ni umeme na mfumuko ww bei, Kuna lolote katatua katika hayo, au anatafuta kiki kwa hao makada wa ccm waliopangwa? Au anataka kuleta yale maigizo ya wakati ww dhalimu kuwa waliozalishwa bila matunzo wakashitaki kwake?
 
Eti Bashite anawaagiza watendaji wa serikali. Haya si maigizo TU. Yaani maana yake ni kuwa Samia amejaza wajinga ambao hawajui majukumu Yao mpaka bashite awakumbushe. Kwa nini hao wajinga wa Samia wanaendelea kushikilia nyadhifa zao!? Je, wananchi kote nchini wafanye kumngoja bashite ili atatue shida zao!? Acheni vioja ninyi wajinga wa ccm.
 
View attachment 2891582
This video is Courtesy of SK Media Online TV.

=====================================================
KWA UFUPI;

1. Paul Makonda ni Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi ndani ya CCM. Yupo barabarani anatembea nchi mzima hata sasa kwa kinachoitwa "ziara ya kuimarisha uhai wa chama..."

2. Ukifuatilia hotuba zake ktk mikutano yake, utaona kwa uwazi kabisa nyuma ya pazia sura ya Mtendaji mkuu wa serikali (Rais Samia Suluhu Hassan) na sio sura ya kiongozi wa idara ndogo tu ndani ya Chama Cha Mapinduzi - CCM yaani Idara ya Itikadi na Uenezi.

Mtu anaweza jiuliza, huyu mtu anafanya hivi kwa makusudi, kwa bahati ya kutojua au ana baraka za boss wake M/kiti CCM taifa na Rais wa JMT?

Ni Kwa sababu maagizo yake ni maigizo tu. Hakuna Mtendaji makini wa serikali atayatilia maanani na kuyatekeleza. Ni kwa sababu hayatoki kwa mtu sahihi kwa mtiririko wa utendaji wa kiserikali..

Mtu anajiuliza Yuko wapi Rais mwenyewe? Yuko wapi VP, Dr Phillip Mpango? Yuko wapi PM, Mwl Kassimu Majaliwa? Wako wapi mawaziri wa kisekta ili kushughulika na matatizo na changamoto za nchi? Je, ya Paul Makonda ni kiashiria cha nchi na taifa kukosa uongozi makini na thabiti? Bila shaka hili la mwisho laweza kuwa jibu..!!

3. Kwa hili kila mtu anajiuiza kuikoni huko CCM kwa maigizo haya? Mifumo sahihi haitendi kazi tena au ndio kuchoka kwenyewe huku? Na kwanini Rais Samia Suluhu Hassan, VP Dr Phillip Mpango na PM Mwl Kassimu Majaliwa wanamtanguliza huyu mtu kupiga kelele ambazo kiuhalisia hazitakuwa na matokeo yoyote kwa wananchi?

4. Fuatilia uchambuzi wa jambo hili toka Kwa mwandishi wa habari mkongwe na nguli Ansbert Ngurumo ktk video ili ujue uongo, hadaa, hila na maigizo ya serikali ya CCM kupitia watu wake wa ajabu ajabu..
Achaneni nae, mbona anawasumbua buduli zenu?, Ukute wewe ni CCM damudamu au pro chadomo ambao hamkutaka kijana ainuke tena
 
Pole sana Kwa kuingizwa kundi moja na Lucas mwashambwa na MamaSamia2025 na ChoiceVariable na chiembe na Tlaatlaah na Etwege na wengine kibao.

Hata hivyo, wewe Pascal Mayalla bado ni chawa tu japo unaweza usie yule wa "mazagazaga" bali yule chawa mwenye akili timamu maana kuna wakati huwa unajiongeza ili kuficha tabia za chawa..

Back to the topic;

Una maoni gani juu ya uchambuzi huu wa Ansbert Ngurumo?

Is Paul Makonda engineering his own downfall subsequently to your CCM?

Umeuona udanganyifu na hila za CCM katika eneo moja tu la treni ya SGR?

Hivi inawezekana vipi viongozi wa serikali waandamizi kuanzia Rais hadi mawaziri kuwa waongo wa kutoa ahadi zaidi 10 katika jambo moja tu kuhusu kuanza kwa huduma za usafiri wa treni ya SGR kati ya DSM na Morogoro tu na bado hakuna hata moja iliyotimizwa?

Hivi kwa mtazamo wako, serikali ya viongozi wa namna hii inakuwa na uhalali gani kuendelea kuwepo? Tuendelee kuiamini? Ina uadilifu wowote?

Hili ni eneo moja tu. Njoo kwenye umeme. For more than 35yrs ni uongo na ulaghai mtindo mmoja..!

Ni ngumu sana kupiga hatua za kimaendeleo chini ya mfumo wa utawala unaolea na kubeba viongozi wajinga, wazembe na wasiowajibika kwa kiwango hiki!!
Ngurumo ni looser na ameandika hayo Kwa sababu hakutegemea mtu kama Makonda kurudi tena kwenye siasa kulingana na Yale wanayodai aliwafanyia.

Mengine hayo ni ya kujifariji tuu ila ndio hivyo Sasa Wapinzani mshauzwa na Samia 😆😆
 
Zaidi ya nusu ya wanaokusanyika kwenye mikutano yake wanapatikana kwa nguvu ya Dola. Kwa Chama kilichoko madarakani muda mrefu tena kwa shuruti, hakishindwi kupata watu kwa njia yoyote ile Ili kuhadaa umma kuwa wanakubalika. Na huko kote wanahutubia tu bila kujibu maswali magumu. Sana sana wanachofanya ni kustage watu ili walete kero ambazo watajifanya kuzitatua Ili kuhadaa wajinga.
Wanafanya usanii wa hali ya juu ili kuwahadaa watu wenye akili ndogo.
 
Mkuu Tindo, hunitendei haki kuniweka mimi katika kundi hili la hawa machawa mazagazaga!.
P
Wewe Mzee unarudi utoto Sasa.Kwamba unashindwa kuwaelewa hao Wapinzani ambao Rais akifanya jambo zuri haitakiwi kumsifia maana ukimsifia utaitwa chawa 😁😁

Sasa unatakiwa uchague kumfurahisha hao Wapinzani au kumsifia Rais akifanya vyema.

Utakula unakopeleka mboga,Mimi Huwa sihangaiki na hao loosers ambao Kwa Sasa wamepigwa shock na mambo 2.

Mosi wasiemtaka karudie Makonda

Pili Muitikio wa watu kwenye mikutano ya MKonda imewapa ubaridi,ule upotoshaji wa sijui watu wanaosombwa na Malori haupo Sasa wanaumbuka.

Last Kiko ni maandamano nayo yamedoda 😆😆
 
Back
Top Bottom