Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,900
KIA Airport mimepita karibuni nikitokea Doha, walishuka watalii zaidi 200.
Bahati ilikuwa asubuhi nimeweza kuona vizuri mandhari na mazingira yake, ni Airport iliyo eneo zuri na panaweza kuwezeshwa kuwa Airport ya kipekee hapa nchini kwani pana nafasi kubwa sana ya kuwezesha kujenga runways kwa namna yo yote kuwezesha ndege kutua kwa usalama zaidi.
Jambo la kushangaza Airport hii ni ya miaka mingi tangu zama za Nyerere na ikiwa ni gate way ya watalii, lakini anayefika kwa mara ya kwanza anaweza kupata wasiwadi maana panaonekana ni porini kana kwamba ndege imetua Loliondo au Seronela.
Abiria hushuka kwenye ndege na kutembea kwa miguu kwenda nyumba ya checkout for security checkpoint, hiyo ni international Airport. Sikuona movement ya huduma kwa disable passengers.
Pako kimya sana, na hakuna hata jengo la hotel lililo karibu na Airport hata lodge hakuna. International Airports nilizoona nchi mbalimbali bara la Ulaya, Asia na America pale pale Airport huwa kuna hoteli za kitali. Mjini Arusha na Moshi yes zipo lakini baadhi hupendelea karibu na airport.
Kawaida mazingira ya Airport husaidia watalii kupata picha ya hali ya nchi ilivyo kwa maendeleo na uchumi, kwa hali ilivyo ukiongozana na wageni wakati ulikotokea nao ulijidai na ukifika utaanza kujisikia vibaya.
Nashauri serikali iwe na mipango ya kuboresha KIA Airport kwa kujenga hotel za kitalii kwa kuwa KIA ni gate way ya watalii nchini.
Pafunguliwe shughuli mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi ili kuwezesha kuondoa hali iliyopo inayoonekana ndege imetua porini.
Serikal8 pia ifungue milango kwa wawekezaji ili wapapendezeshe KIA yetu.
Pale KIA Airport pajengwe jengo lenye hadhi ya shughuli za Airport kwa mazingira ya kuvutia watalii na wawekezaji.
Jamani KIA serikali ifungue macho zaidi, utalii huliingizia taifa pesa za kutosha kila mwaka. Itapendeza KIA kwa sasa iende na wakati.
TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE!
Bahati ilikuwa asubuhi nimeweza kuona vizuri mandhari na mazingira yake, ni Airport iliyo eneo zuri na panaweza kuwezeshwa kuwa Airport ya kipekee hapa nchini kwani pana nafasi kubwa sana ya kuwezesha kujenga runways kwa namna yo yote kuwezesha ndege kutua kwa usalama zaidi.
Jambo la kushangaza Airport hii ni ya miaka mingi tangu zama za Nyerere na ikiwa ni gate way ya watalii, lakini anayefika kwa mara ya kwanza anaweza kupata wasiwadi maana panaonekana ni porini kana kwamba ndege imetua Loliondo au Seronela.
Abiria hushuka kwenye ndege na kutembea kwa miguu kwenda nyumba ya checkout for security checkpoint, hiyo ni international Airport. Sikuona movement ya huduma kwa disable passengers.
Pako kimya sana, na hakuna hata jengo la hotel lililo karibu na Airport hata lodge hakuna. International Airports nilizoona nchi mbalimbali bara la Ulaya, Asia na America pale pale Airport huwa kuna hoteli za kitali. Mjini Arusha na Moshi yes zipo lakini baadhi hupendelea karibu na airport.
Kawaida mazingira ya Airport husaidia watalii kupata picha ya hali ya nchi ilivyo kwa maendeleo na uchumi, kwa hali ilivyo ukiongozana na wageni wakati ulikotokea nao ulijidai na ukifika utaanza kujisikia vibaya.
Nashauri serikali iwe na mipango ya kuboresha KIA Airport kwa kujenga hotel za kitalii kwa kuwa KIA ni gate way ya watalii nchini.
Pafunguliwe shughuli mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi ili kuwezesha kuondoa hali iliyopo inayoonekana ndege imetua porini.
Serikal8 pia ifungue milango kwa wawekezaji ili wapapendezeshe KIA yetu.
Pale KIA Airport pajengwe jengo lenye hadhi ya shughuli za Airport kwa mazingira ya kuvutia watalii na wawekezaji.
Jamani KIA serikali ifungue macho zaidi, utalii huliingizia taifa pesa za kutosha kila mwaka. Itapendeza KIA kwa sasa iende na wakati.
TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE!