Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!