Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,080
- 94,840
Msando amekwenda ccm kutskatisha utajili alionao ambao hauna maelezo.Hivi nia ya chama na serikali kwa upinzan ni ipi hasa?
Huku Ccm ukiwa mzinzi, mwasherati, mlevi utasafishwa tu ukiambiwa ww ni mchapa kazi una eelimu na mwaminifu. Swala la kujiuliza ikiwa mtu so mwadilifu kwa mkewe na watt anaweza kuwa mwadilifu kwa chama? Kama anaweza akarekodiwa kwenye mzinzi je kwenye chama atafanyeje?
Kisiasa Msando siyo mtaji kwa chama chochote, level yake kisiasa ni siasa za kata au jimbo tu na hana level ya kitaifa.
Hapa ccm imejiingiza mkenge kutakatisha pesa za Msando bila kujielewa.