makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,377
- 81,707
Juzi kati niliona mdada wa kizungu analalamika meli yao ya misaada kwa watu wa gaza imekwama uturuki, waturuki wameizuia kwa maelekezo toka kwa USA, sasa kama mzee erdogan anachoongea kinatoka moyoni kwanini alizuia ile meli?
Mturuki haaminiki.
Mturuki haaminiki.