ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,179
- 91,790
Usidanganyike, hakuna kitu kama hicho.Aiseee jamaa wanapiga fedha kweli kweli ,mtungi mdogo je
Usidanganyike, hakuna kitu kama hicho.Aiseee jamaa wanapiga fedha kweli kweli ,mtungi mdogo je
Mihans kwa kweli kale ka gesi sjui kana siri gani, kwanini hakaishi haraka kama Oryx!!
Gesi ndo biashara inayolipa Mjini Jumla 35,000 (15 kg) unauza 53,000 (rejareja) faida 18,000 kwa mtungi. Uchumi wa Kati.
huwa kana jijaza!!Wanatumia ushirikina
Naunga mkono hoja mimi ninacho gheto basi nikapiga mahesabu nikasema huu mwezi hakatoboi nikakafichia hela ya kujazia bwana bwana kalidunda live live mpaka nikatoboa mwezi mwingineMihans kwa kweli kale ka gesi sjui kana siri gani, kwanini hakaishi haraka kama Oryx!!
Haina tofauti. Lakini Oryx nadhani walikuwa wa kwanza sokoni na hivyo wengi tuna mitungi hiyo. Hivyo wanauzia jina na idadi ya watu wenye mitungi yaoHabari ndugu zangu,leo nilikuwa naulizia bei ya gesi mtungi mdogo Oryx upo juu sana kwa bei ya sh 25000/= Mihan na oli ges 21000/= ,mtungi mkubwa 58000/= oryx na kampuni nyingne 53000/= ,Sasa swali langu ni kwamba utofauti wake upo kwenye nini ?, Naomba anaejua anijuze tafadhali ili nitambue ubora wake tofauti na makampuni mengne .
Acha uongo!Tulitumia mtungi wa mihani gas ikipungua sana haiwaki vizur, tulipo switch oryx aisee inawaka hadi mwisho ...kitu kingine orxy inachelewa sana kuisha sjui huwa wanajazaje...maana by experience nmetumia mitung kama ya KAMPUNI 3..lkn oryx ina good quality and quantity na hii ndo sababu ya kuwa bei juu