Utawezaje hili?

juma sal

Senior Member
Dec 18, 2011
156
88
Imagine una mwanamke ambae kwadhati unampenda na ushamueleza kua unampenda (lakini dini ni tofauti yeye mkiristo mimi ni muislam).......HAYUKO TAYARI KUBADILISHA DINI, NAMI SIKO TAYARI KUBADILISHA....... lakini mimi nipo tayari kwenda serikalini kula kiapo cha ndoa.....anashindwa kunikubali kwa sababu hii na kusema haoni feture katika uhusiano huu.......for sure mimi bado nampenda ile mbaya jamani!!!!!! lakini nashindwa namana ya kumfanya anikubali kikwazo kikiwa dini...hebu nishauri jinsi ya kukiruka kiunzi hiki.
 
Imagine una mwanamke ambae kwadhati unampenda na ushamueleza kua unampenda (lakini dini ni tofauti yeye mkiristo mimi ni muislam).......HAYUKO TAYARI KUBADILISHA DINI, NAMI SIKO TAYARI KUBADILISHA....... lakini mimi nipo tayari kwenda serikalini kula kiapo cha ndoa.....anashindwa kunikubali kwa sababu hii na kusema haoni feture katika uhusiano huu.......for sure mimi bado nampenda ile mbaya jamani!!!!!! lakini nashindwa namana ya kumfanya anikubali kikwazo kikiwa dini...hebu nishauri jinsi ya kukiruka kiunzi hiki.

Kwa mtaji huo ninakushauri ukubaliane na wazo lake la NO ukienda kula kiapo serikalini sidhani hicho kiapo utaapa kuwa utakuwa tayari kumnunulia kitimoto kumletea aandae ale pale nyumbani kauli yake kuwa haoni feature yuko sahihi kabisa
 
Ngoja na mimi ni imagine natoa ushauri...
Ni kweli suala la dini kwa waaminio lina umuhimu sana..inawezekana mchumba kuna vitu ameona vitakuja kuwa vigumu huko future...
Sasa basi ongea na babe wekeni tofauti za dini pembeni jadilini mipango ya ndoa umuulize wasiwasi wake ni nini...
Pia usilazimishe sana ikaja kuleta balaa siku za usoni...
Pole sana kwa kukoseshwa raha na vitu vilivyokuja na monsoon wind!!
 
Kwa mtaji huo ninakushauri ukubaliane na wazo lake la NO ukienda kula kiapo serikalini sidhani hicho kiapo utaapa kuwa utakuwa tayari kumnunulia kitimoto kumletea aandae ale pale nyumbani kauli yake kuwa haoni feature yuko sahihi kabisa ........kitimoto nini bana!!!! mi nipo tayari:tea:
 
Imagine una mwanamke ambae kwadhati unampenda na ushamueleza kua unampenda (lakini dini ni tofauti yeye mkiristo mimi ni muislam).......HAYUKO TAYARI KUBADILISHA DINI, NAMI SIKO TAYARI KUBADILISHA....... lakini mimi nipo tayari kwenda serikalini kula kiapo cha ndoa.....anashindwa kunikubali kwa sababu hii na kusema haoni feture katika uhusiano huu.......for sure mimi bado nampenda ile mbaya jamani!!!!!! lakini nashindwa namana ya kumfanya anikubali kikwazo kikiwa dini...hebu nishauri jinsi ya kukiruka kiunzi hiki.

We nawe wa wapi! mwanamke lazima amfuate mwanaume! ukipoteza hapo umeliwa, akikataa kwani wameisha???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom