bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,030
- 5,775
- Thread starter
- #21
Mwinyi nae alikuja kuwaachia huru waliotaka kumpindua Nyerere kwahiyo alichofanya Chato man siyo ngeni katika siasa za huko nchini. Swali la msingi je walitenda hilo kosa?Nimeamini jamiiforum kisima cha habari hii habari nilikuwanaitaka sana wapeni vijana wajuwe .sasa naombeni mtupe Uzi Wa BABU SEYA hivi ile kesi ilikuwa kweli au kuna mambo nyuma ya panzia swali na kama kesi ni kweli kwann raisi MAGUFURI awasamehe ndio tunarudi nyuma kwamba inshu ya BABU SEYA kuna kitu kimejificha
Waziri wa kidiplomasia nchini kwa wakati alisema atahakikisha familia ya Nguza Viking inafia jela akatafuta na wanaharakati za haki za kibinadamu jamaa akapelekwa pale Ukonga. Ila sababu kubwa mcongo huyo aliingilia maslahi ya mtalii huyo aliyedumu kwa muongo moja kama boss wetu.
Alichokosea mzee alitaka kumpitia na mke wa PM wa kipindi hicho ndo maana ilipokuja kudakwa pm alimuambia huyo kanali kuwa we mpeleke tukichanganya na rushwa na msosi waliopigwa wale madogo hapo Sinza wakatunga uongo eti wameliwa tigo labda waliwachanganyia bangi za kapachino.
Babu Seya yupo huru ila afya na maisha ya jela life span imeshadorora.