Kweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na AudNaam kwa Mjapan kila goti litapigwa
Mkuu kwanini unasema inashangaza, binafsi ninavyojua kwa european brands inayoongoza kwa reliable cars ni BMW, ila kinchi overall Japan inaongoza kwa brands nyingi kwenye top reliable carsKweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na Aud
Bado nashangaa pia labda kuna bmw za 2024 Ila sio hizi tunazozijuaKweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na Aud
Mkuu kwanini unasema inashangaza, binafsi ninavyojua kwa european brands inayoongoza kwa reliable cars ni BMW, ila kinchi overall Japan inaongoza kwa brands nyingi kwenye top reliable cars
Bado nashangaa pia labda kuna bmw za 2024 Ila sio hizi tunazozijua
Mjapan gari zake juu kabisa. Jana nilikuwa page fulani insta ya magari ya US hata wao wanakubali kwamba engine ya mjapan kugonga mile milion ni kawaida ila sio engine za US manufacturers
Hizo takwimu zimeandliwa na time ya uchaguzi?
BMW inashika nafasi ya 3? Au inawezekana BMW zinazouzwa marekani ni tofauti na hizi zinazoahinda garage kilasiku.
Wazungu wanajiuliza kilasiku inakuaje Toyota anatengeneza magari imara kama treni wanakosa majibu ndiyo maana kampuni ya Toyota bado imegoma kutengeneza magari ya umeme Hadi Leo na kulikuwa na ubishani mkubwa kwenye kampuni ya Toyota namna gani wataingia kwenye ulimwenguni wa EV's.
Baada ya research ya muda mrefu kampuni ya Toyota wamependekeza utumiaji wa HYDROGEN CELLS badala ya UMEME kitu ambacho hata Mimi nakubaliana nao
Mjapan gari zake juu kabisa. Jana nilikuwa page fulani insta ya magari ya US hata wao wanakubali kwamba engine ya mjapan kugonga mile milion ni kawaida ila sio engine za US manufacturers
BMW unaifananisha na Subaru? Are you serious?Kweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na Aud
Hii report yako haihusiani na reliability Usiwalishe matangopori watu!
Bongo ni shida Sana kilakitu ni fake fake Tu..unaweza kutumia spares original ukaenda kupigwa kwenye mafuta yaliyochakachuliwaKibongo bongo bado BMW sio gari ya kila mtu. Oil fake, petrol ina lots of contaminants, temperature iko juu, parts fake ukifunga after a while zinazingua, ingawa ni chuma unyama sana
Mkuu ukipima reliability ya gari kwa kutumia criteria za wabongo basi utasema reliable cars dunia nzima ni toyota tuEuropean cars Mimi najua Benzi ndo reliable car.
Wapumbavu hao unakuta wanaongelea BMW za 2023.
BMW ya mwaka jana umeexperience ndugu? Nadhani ilitakiwa kuwa ya kwanzaKweli sema inashangaza BMW kuwa juu ya Subaru ,Benzi na Aud