Tanzania ni ya kwanza katika Afrika Mashariki kwa Uhuru wa habari

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
10,607
18,298
20240503_221755.jpg


Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa Afrika Mashariki

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141

Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari

Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
 
View attachment 2980086

Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa Afrika Mashariki

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141

Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari

Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
Napinga hiyo taarifa
 
View attachment 2980086

Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa Afrika Mashariki

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141

Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari

Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
Hivyo vigezo mbona wamesahau kigezo muhimu zaidi kinachotumika hapa. Rushwa kwa vyombo vya habari inayotolewa na serikali kwa vyombo hivyo, ili viwe chawa wake!
Vyombo vya habari visivyoona uozo ndani ya serikali na kuutolea habari kwenye vyombo hivyo.
 
Hivyo vigezo mbona wamesahau kigezo muhimu zaidi kinachotumika hapa. Rushwa kwa vyombo vya habari inayotolewa na serikali kwa vyombo hivyo, ili viwe chawa wake!
Vyombo vya habari visivyoona uozo ndani ya serikali na kuutolea habari kwenye vyombo hivyo.
Unaweza ukaweka ushahidi wa unachokisema? Kama huna basi hiyo itabakia ni hisia zako tu
 
Wananukuliwa sana. Soma Mwananchi ya leo uone habari za rushwa ya CDM kwa mujibu wa mkutano wa Lissu wa Iringa
Kati ya vyombo vyote, ukatumia mfano wa Mwananchi, ambao wamewekwa mfukoni mwa Nape na Abbas wake?
Kama wameandika itakuwa ni pembe inayoinufaisha serikali
 
Unaweza ukaweka ushahidi wa unachokisema? Kama huna basi hiyo itabakia ni hisia zako tu
Of course siwezi kuweka ushahidi kama unaoutaka wewe. Serikali inapokataa kuweka matangazo kwenye gazeti kwa vile halishabikii matakwa yake, hiyo siyo rushwa?
 
Inasaidia nini watanzania hivi vinavyoandika kwa maelekezo na kutoa habari za upande mmoja hatuna vyombo vya habari Tanzania zaidi ya mitandao binafsi na wengi wao si wanahabari wanaliokoa Sana Taifa letu
 
Inasaidia nini watanzania hivi vinavyoandika kwa maelekezo na kutoa habari za upande mmoja hatuna vyombo vya habari Tanzania zaidi ya mitandao binafsi na wengi wao si wanahabari wanaliokoa Sana Taifa letu
Ndiyo hivyo tena dunia imeambiwa kama nyie hamtaki hampunguzi jitu
 
Back
Top Bottom