kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,077
- 18,119
Nipo zangu facebook juzi kwanza nikaona messeji inbox inaanza na "hi" kucheki nikaijibu baada ya muda huyo mtu akatuma friend request nikaona ni rafiki tu kama marafiki wengine nimechat nae anaanza kuniita " my" nikamuuliza we chalii una maana gani akasema oooh hakuna shida.
Nikahisi huyu ni choko nikalipotezea kumbe aliona nilipost kule facebook business groups issue za kuweka matangazo ya biashara nikashangaa watssap messeji zinaingia balaa na mapicha ametuma picha kama saba hivi akiwa uchi nyingine akiwa na mapozi ya ajabu ajabu nilimtukana hakuelewa nilichokifanya nikaenda kuchek facebook profile picture yake nikaona comment ya mtu niliyehisi ni dada yake kumbe ni dada yake kweli nilichokifanya ni kumtumia dadake picha zote na messeji za huyo chaliii ni nikamwambia amuonye huyo choko la sivyo nitamvunja shingo.
Cha ajabu wakuu yule dada amejibu mchana huu eti anasema anashangaa na ameshtuka kwani alikua hajui kuwa mdogo wake ni punga
Nifanyeje hawa viumbe waache kunifata inbox cha ajabu sina ukaribu na mapunga nasema hivi kwasababu huu mwaka ni mara ya pili nikitongozwa na punga mwanzo aliyekuja ilibidi nimtishe kabisa kuwa nitampeleka polisi ndo akaacha.
Hii ni balaa tupu kama mnakumbuka uzi wangu ilivyotokea arusha basi mtaelewa. Be careful mnaotumia hususan facebook ni majanga matupu halafu huyo chalii ukimuona ni kijana mwenye heshima zake na maisha mazuri kimuonekano unaweza usidhani ni choko. Hawa viumbe wanazidi kwa kasi ya ajabu sana....wakuu hii ndo imenitokea kutongozwa na choko.
Nikahisi huyu ni choko nikalipotezea kumbe aliona nilipost kule facebook business groups issue za kuweka matangazo ya biashara nikashangaa watssap messeji zinaingia balaa na mapicha ametuma picha kama saba hivi akiwa uchi nyingine akiwa na mapozi ya ajabu ajabu nilimtukana hakuelewa nilichokifanya nikaenda kuchek facebook profile picture yake nikaona comment ya mtu niliyehisi ni dada yake kumbe ni dada yake kweli nilichokifanya ni kumtumia dadake picha zote na messeji za huyo chaliii ni nikamwambia amuonye huyo choko la sivyo nitamvunja shingo.
Cha ajabu wakuu yule dada amejibu mchana huu eti anasema anashangaa na ameshtuka kwani alikua hajui kuwa mdogo wake ni punga
Nifanyeje hawa viumbe waache kunifata inbox cha ajabu sina ukaribu na mapunga nasema hivi kwasababu huu mwaka ni mara ya pili nikitongozwa na punga mwanzo aliyekuja ilibidi nimtishe kabisa kuwa nitampeleka polisi ndo akaacha.
Hii ni balaa tupu kama mnakumbuka uzi wangu ilivyotokea arusha basi mtaelewa. Be careful mnaotumia hususan facebook ni majanga matupu halafu huyo chalii ukimuona ni kijana mwenye heshima zake na maisha mazuri kimuonekano unaweza usidhani ni choko. Hawa viumbe wanazidi kwa kasi ya ajabu sana....wakuu hii ndo imenitokea kutongozwa na choko.