Ushauri wenu ndo utaniweka huru!!

JITABOY

JF-Expert Member
Sep 2, 2013
254
35
Nilifanya biashara na jamaa yangu nikiwa kama mcmamiz mkuu,lakni baadae nikajikuta nina los ambayo mwenyewe ckujua imetoka wap.Ndipo niliamua kukimbia bila yeye taarifa lakni ktkt mtaji wetu tulio kuwa nao,nilimwachia na vifaa vya kaz ambavyo ni vyangu.Je?kisheria aknishtak nitatiwa hatiani? kiufupi mtajiwake alibaki nao icpo kuwa faida ambayo hata mwenyewe ckuona pamoja na kukmbia.
 
Sasa na wewe kwanin ulikimbia? jamani tujifunze kuzungumza pale tunapoona tatizo. ngoja waje wahusika ila naamini kama alichukua RB wakati ulipokimbia na hajasamehe lazima akufungulie kesi. alafu mambo yakumbia hayo yanampa mtu nguvu zaidi, kama ilikuwa ni loss ya kawaida yeye anazweza kukushtaki kuwa umemuibia kiasi kikubwa cha pesa au mtaji wote, kwakwel sioni hata kama unaweza kujitetea hapo. Haya tusubiri wataalam waje.
 
Hapo mkuu hauna kosa kisheria. Naamini kabisa hiyo biashara mliyokuwa mkifanya haikuwa PARTNERSHIP kisheria, pia hamkuwa na mkataba wa maandishi wa kufanya hiyo biashara wala wewe si mwajiriwa wa huyo jamaa. Hukuba mali yamtu wala kudhulumu. Kwa kufuata misingi ya kisheria huna kosa la jinai, madai wala madhara (tort). Labda kama kuna mkataba mliandikishana na inategemea ni mkataba wa kufanya nini. Hebu kwanza toa maelezo zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom