Ushauri wako unahitajika

kelphin

JF-Expert Member
Dec 24, 2019
9,258
14,951
Habari wakuu....
Ninae rafiki yangu wa karibu (tunafanya kazi pamoja)
Ana mahusiano na dada mmoja kwa muda sasa
Na wameshafanya mambo kadhaa pamoja...
Changamoto ni kua huyu jamaa yangu anaemdogo wake
Mdogo wake nae anamtongoza huyu dada bila ya kujua kama kaka yake ndio usingizi wake..
Je afanye nini ili aendelee kutengeneza mahusiano mazuri baina ya ndugu na mdogo wake?
Au njia gani itumike kumuelewesha mdogo mtu bila ya kutengeneza chuki
Na je nani wakumuambia mdogo mtu juu ya uhusiano hu?
 
Hili nalo la kuleta hapa mkuu..mwambie amuachie dogo huyo mwanamke kama akili zenyewe ndo hizi.
 
Ina maana huwa hamsikii kwamba kizuri kula na nduguzo, au?!

Au mmeshindwa kumsikia hata SSH aliyesema kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake?!

Yeye si hakutaka kumwambia dogo kwamba huyo ndo she.... but wait! Mbona kama CD inanasa fulani hivi!!
 
Hili nalo la kuleta hapa mkuu..mwambie amuachie dogo huyo mwanamke kama akili zenyewe ndo hizi.

Mkuu mawazo ni kitu pow! Hatupo sawa uwezo wa kufikiri
Ukiweza toa ushauri ukishindwa acha
 
Sasa jamaa ana shida gani. Kama dogo hjui kuwa kaka yake huyo ni demu wake tayari ni ishara tosha kuwa yeye mwenyewe magumashi na hamthamini huyo mwanamke. Kama upo serious na demu lazima uta muintroduce kwa dogo lako

Noted
Be blessed man!
 
Mkuu mawazo ni kitu pow! Hatupo sawa uwezo wa kufikiri
Ukiweza toa ushauri ukishindwa acha
Kwa style hii huyo kila siku maushauri yatakuwa hayakauki kuombwa humu hata kwa kitu kidogo, yeye kama mwanaume anashindwa nini kumweleza dogo kua flani ni shemeji yako, tena ikiwa vema amlete amtambulishe kwa dogo kabisa, mbona rahisi sana hii.
 
Kwa style hii huyo kila siku maushauri yatakuwa hayakauki kuombwa humu hata kwa kitu kidogo, yeye kama mwanaume anashindwa nini kumweleza dogo kua flani ni shemeji yako, tena ikiwa vema amlete amtambulishe kwa dogo kabisa, mbona rahisi sana hii.

IMG_6718.jpg

Umetoa ushauri
Ila unamakasiliko sana...
Nakushukuru
 
Kuna vitu vipo open sana mwambie huyo ndugu akamtambulishe mpenzi wake home ...... mbona simpo tu
 
Akamtambulishe huyo dem kwa ndugu zake (kwa huyo dogo) amtie na mimba kuonesha msisitizo
 
Habari wakuu....
Ninae rafiki yangu wa karibu (tunafanya kazi pamoja)
Ana mahusiano na dada mmoja kwa muda sasa
Na wameshafanya mambo kadhaa pamoja...
Changamoto ni kua huyu jamaa yangu anaemdogo wake
Mdogo wake nae anamtongoza huyu dada bila ya kujua kama kaka yake ndio usingizi wake..
Je afanye nini ili aendelee kutengeneza mahusiano mazuri baina ya ndugu na mdogo wake?
Au njia gani itumike kumuelewesha mdogo mtu bila ya kutengeneza chuki
Na je nani wakumuambia mdogo mtu juu ya uhusiano hu?
Haikuhusu. Acha Mwanamke mwenyewe ndio ataamua. Ama kuliwa na Mtu na Kaka yake ama atamueleza mweneye dogo kwamba ni Shemeji yake...!
 
Back
Top Bottom