Mega Flix
Member
- Mar 23, 2023
- 67
- 121
,Hiyo taaa na siti ya nyuma kubinuliwa,Combination ya vijana wa hovyo kabisaNYONGEZA
7.Usipande pikipiki ambayo taa ile kubwa imetolewa na imewekwa ile NDOGO kama ya tochi..NI HATARI!
,Hiyo taaa na siti ya nyuma kubinuliwa,Combination ya vijana wa hovyo kabisaNYONGEZA
7.Usipande pikipiki ambayo taa ile kubwa imetolewa na imewekwa ile NDOGO kama ya tochi..NI HATARI!
Usipande bodaboda main road( highway).Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya MJINI pitia hapa!
1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii
2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...
Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Mwisho: Ukiona pikipiki ipo ovyo ovyo (haina sifa), ujue na muendeshaji yuko hivyo hivyo, uamuzi ni wako!
-
Uko sahihi sana mkuuUsipande bodaboda main road( highway).
Bodaboda ni usafiri convenient kwenye barabara za kuingia ndani,mitaani,hizi za vumbi zisizokuwa na magari mengi
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Katika vitu ambavyo nakiwa makini navyo ni pamoja na.muonekano wa Bodaboda. Naangalia kama amevaaje, ana viatu au yebo? Umri wake upoje then ndio nakuja ubora au muonekano wa pikipiki yake ila.Mara nyingi huwa napanda Pikipiki za watu wazima/wazee.15. usipande bodaboda ya dereva aliyenyoa kiduku
Hiki nacho ni kigezo changu kikubwa pia mkuu.Nyongeza
Panda pikipiki ambayo dereva ni mtu mwenye ka umri kakubwa kidogo,awe ni mwenye Familia.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
ni kweli, bodaboda za watu wazima/wazee au za kijana ambae unamfahamu ana mke na watoto ambao wanamtegemea ndo za kupanda.Katika vitu ambavyo nakiwa makini navyo ni pamoja na.muonekano wa Bodaboda. Naangalia kama amevaaje, ana viatu au yebo? Umri wake upoje then ndio nakuja ubora au muonekano wa pikipiki yake ila.Mara nyingi huwa napanda Pikipiki za watu wazima/wazee.