USHAURI: Kuhusu kukata rufaa HESLB

The thinker27

1.Muda wa kukata rufaa ukifika wewe kata rufaa , mwaka jana ilitokea maajabu karibia first year wote ambao wamepata kiasi kidogo cha Fedha(sio wale waliokosa kabisa)na kukata waliokata rufaa walipata tena 100% wale waliokata tamaa na kutokata rufaa wakajutia baadae.Muda ukifika jaribu kuwa kuwa hata ukikosa kiasi cha mwanzo kinabaki hivyo hivyo.

2. Panga mikakati mapema ya kujikwamua kama ukikosa na rufaa ,kwa kuomba ndugu wakuwezeshe nk.
nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako wenye kujenga mungu akubariki
 
Enzi nzetu kuna kijana aliingia Top 10 tena yeye ni yatima hakuwa na wazazi kabisa alisomeshwa shule za msaada na wazungu.. Yule kijana bila CRDB kumdhamini wao asome alishaacha chuo hii kuonesha Heslb wana mioyo migumu mno so dont temper aisee unaweza juta.
pamoja sana mkuu
 
Kijana sikushauri kukata rufaa kwa sasa kwani hali hiyo unayoiona sio kwako tu tena shukuru mungu umepata batch ya kwanza hujui wenzio huko batch za mwisho watawekewa ngapi.
Serikali inajua inachokifanya.
Wewe kuwa na subira na mambo mazuri hayataki papara.
Mwisho
Kwamba tuliokosa batch ya kwanza tutapata viwango chini ya hao Waliopata batch 1
 
Back
Top Bottom