Upweke unanitesa, nisaidieni.

MaT2B

JF-Expert Member
Jul 12, 2019
387
970
Nisaidieni mbinu za kupata mdada ile nianzishe nae Urafiki then mahusiano serious.

Nina umri wa miaka 28, sijawahi kuwa kwenye serious relationship. Natamani sana nipate mdada tupendane ila ndio hivyo sijui sina bahati au ni mdomo mzito.

Nipeni mbinu. Jioni hii nimetoka kutafuta sijapata hata mmoja.

Mfano
Kuna huyo nimemuona anakuja upande wangu, alipokaribia nikamuita. Akanikaushia hata hakugeuka kunitazama.

Napata shida na upweke, hapa usiku naona mrefu sana.
 
1 Hakikisha una pesa na Mali( Tafuta pesa Tafuta pesa Tafuta pesa )

2 Baada ya kutafuta Pesa hakikisha unafuata na kuapply formula ya HAKIMI vizuri (Mama Yako muandikishe umiliki wa Mali zako zote)

3 Tupia pamba Kali then kamtongoze unayemtaka akikubali usiwaziee Sana kuachana maana formula ya HAKIMI ulisha apply vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom