JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,030
Habari wadau,
Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.
Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?
Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.
Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?